MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
Hapa dawa ni nguvu ya kura, ninamatumaini kwamba wananchi wanaanza kutenganisha nani fisadi nani siyo. Tuache wamalizane maana ni wakina Rostam walio-leak hii ku-divert attention, wameanza kukanyagana, tusubiri hii splinter group ya mafisadi itatoa info gani... hapa inaanza kuwa Chenge-Mkapa vs Rostam-Lowassa wataanza kurushiana mawe,
Chenge hajiuzulu hivi hivi, also he wont be arrested.
Chenge hajiuzulu hivi hivi, also he wont be arrested.