Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
hahaha lazima dola milioni moja aite vijisenti!
pia ameviita vijisenti kwa kuwa anajua kuwa katika serikali ya ccm yeye sie anaeongoza kwa pesa za ufisadi.
kikwete mwenye fisadi, na angekuwa si fisadi asingewakingia kifua mafisadi wa namna hii
pia ameviita vijisenti kwa kuwa anajua kuwa katika serikali ya ccm yeye sie anaeongoza kwa pesa za ufisadi.
kikwete mwenye fisadi, na angekuwa si fisadi asingewakingia kifua mafisadi wa namna hii