Wabongo Naomba Nichukue Muda Huu Kuongelea Upande Mwengine Wa Shilingi. Nafikiri Mimi Ni Mmoja Wa Watu Waliopata Nafasi Ya Kuangalia Huo Mjadala. Linalotokea Hapa Baada Ya Kusoma Michango Ya Waliotangulia Inaonyesha Wazi Kwamba Kuna Jjambo Kubwa Ambalo Maya Be Hamkulielewa Au Mmelielewa Na Kwamba Mnajifanya Kama Hamjaelewa.
Kwanza, Suala La Siasa Ya Tanzania Ni La Watanzania Wenyewe Na Raisi Anapochukua Ridhaa Hiyo Basi Ni Kwamba Ufanya Kile Kilichobora Kwa Nchi Yake. Mkapa Amenunua Rada Sio Suala Baya. Suala Linalojadiliwa Na Waingereza Ni Kutaka Kuona Uwazi Wa Deal Lenyewe Lilivyofanyika. Namshukrur Mwana Kijiji Alipoeleza Kwamba Deal Lile Lilitakiwa Kuwa Na Sehemu Mbili. Kwa Hiyo Basi, Maswali Ya Kujiuliza Ni Kwamba Je Ni Vibaya Kwa Kununua Hiyo Rada Kwa Wakati Mmoja? Suala La Kamisheni Ni Suala Ambalo Halikuzungumzwa. Waingereza Walikuwa Wanalalamika Kwamba Nchi Kama Tanzania Imekuwa Maskini Na Kununua Rada Haikutakiwa.swali Ni Kwamba Usalama Wako Unaweza Jadiliwa Na Mtu Kweli, Hawa Waingereza Ni Wakina Nani Hadi Watuamulie Nini Cha Kufanya Au Tulalaje ?
Suala Jengine Ni Kuhusu Kauli Ya Mh.kikwete Akiwa Waziri Wa Mambo Ya Nje. Nafikiri Mtakubaliana Na Mimi Nitakjapo Sema Kwamba Ile Ni Kauli Ya Commitment Na Ndiyto Maana Hata Yule Mbunge Aliposema Yalke Maneno Alizomewa.
Mimi Nafikiri Tuangalie Kwetu Sisi, Tuachane Na Hizi Siasa Za West Ambazo Zinaweza Kutugombanisha. Tony Blair Knows What He Was Doing, He Is There Kuhahakikisha Kwamba Usalama Duniani Unakaa Sawa, Hawa Conservative Sidhani Kama Wana Nia Hiyo. Naanza Kupata Wasiwasi Na Hii Siasa Yao Kama Kweli Itatusaidiia Sisi Walalahoi Pale Kipawa, Dar Es Salaam Mjini Au Wengine Uita Bongo.
Hofu imetawala Tanzania, waandishi wetu wanaogopa kwani wakiandika habari ambazo sirikali hazipendi watafungia, hofu hofu hofu..........
kazi ya ziada inatakiwa ifanywe kuondoa hofu kwa watanzania, ndani ya vyama na serikali kuna mashupavu hawakubalini na ufedhuli ufanyikao, lakini wamejawa hofu, wakipinga wataonekani si wenzao watatengwa au watapigwa fitna.
tufanyejeje kuondokana na hofu?
.
Naanza Kupata Wasiwasi Na Hii Siasa Yao Kama Kweli Itatusaidiia Sisi Walalahoi Pale Kipawa, Dar Es Salaam Mjini Au Wengine Uita Bongo.
On a flip side
Je kuna mkono wa ZITO KABWE katika hili lilotokea jana?
Mwanagenzi, kazi nzuri hiyo... ila kuna ripoti ambayo serikali ya Tanzania haitaki iwekwe hadharani, ripoti hiyo ndiyo kiini kitakachofungua kama kweli tulihitaji rada hiyo na kama tulipata dili nzuri au ndio tuliingizwa mjini mchana kweupe.