The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Waache wapigane mapanga sasa, maana walifikiri wamefaidi kumbe wameingizwa mjini kwenye mkenge.
 
Wengi wao wameliwa kama Watanzania wote tulivyoliwa na hao Wahindi wawili.

Tatizo ya magazeti yetu hayafanyi uchunguzi wa kina na matokeo yake wanaficha majina maana hawawi na uhakika na habari zao.

Kama wamefanya uchunguzi si wataje tu majina?
 
Tanzanet forum is being operated using email distribution. You need to be a member and pay annual fees to have access!
 
point MP ni DANIEL KAWCZYSKY ni MP wa wa SHEWSBURY & ATCHAM na ni wa conservatives
 
Ukiweza tuwekee hayo majamboz please. Ila pamoja nakuwa anamkandia Mkapa sasa hivi, inakuwaje alipokuja TZ hakuwa na ubavu wakufanya hivyo bali alirudi Uingereza nakuanza kushabikia huo ufisadi? Huyu mama ni kigeugeu. Mzee Mwanakijiji hebu fanya vitu vyako umpate huyu mama halafu akueleza huu ukigeu geu wake ni sababu ya nini?
 
najaribu kutafuta toka website ya BBC PARLIAMENT lakini wapi

anyways nitaitafuta katika YOUTUBE

mjadala bado unaendelea

Mwanakijiji naamini ataipenda hiii

kume kamisheni ya middle man ni 12 million dollars na pesa zipo bado kwenye SWEISS ACCOUNT
 
HONGERENI MWANAKIJIJI

big up


barua inasomwa na mbuge NORMAN LAMB wa LIBDEM Norfolk
 
Kazi nzuri DrWHO!!, na hongera MMKJJ ujumbe umefika
 
hiyo ni LIVE LINK hivyo mlionje ya UK au msio na SKY au FREEVIEW mnaweza kutazama live jamaa wa conservatives anvyochambua hiii dela
 
sasa naona Malcolm Wicks anamtia kitanzi KIKWETE na maneno yake aliyoyasema walipokuwa FOREIGN MINISTER
 
Very good in deed...I am watching live online....what a wondefull piece of technlogy...!!

Malcolm Wicks (Trade Minister) anatetea hoja ya JK (alipokuwa Foreigh) kuwa "Tanzania sorventy should be respected..!!" What a joke...
 
Clare Short (aliyekuwa International Dev Minister..then) anabinua pua...kwa style ya kujisikia raha kabisa maana wakati ule alipinga sana hili dili lipitishwe na UK Gov.
 
Thanks Dr WHO japo part ya huyo mama na ile message ya Wtz wenye uchungu na taifa nimeikosa. Naamini utaweza pata link hizo somewhere na kutuwekea hapa.
Hata kama hawataadhibiwa manyang'au hawa lakini ujumbe unafika kwamba wanapoingia mikataba yao ya kiendawazimu wajue kuna watu hawaridhishwi na mambo yao ya ovyo. Pia itawafanya wajue kuwa kina Mkapa na JK siyo smartest people Tanzania na ki halisia ni jeuri tu ndiyo inayowasumbua.
 
Back
Top Bottom