maneno yako kweli na kwa sababu vyombo hivyo viko - Above the law...wakati sheria inasema no one is above the law.Utawala wa sheria vipi wakati dola na mahamana ndio wanaongoza kwa rushwa?
- Huu ni wakati muafaka kwa wasomi, wana-dini, na viongozi wetu wa siasa kukaa chini na kujaribu kutafakari kwa makini, kwa sababu sio siri kwamba taifa letu limekumbwa na crisis kubwa sana ya character, Mwalimu alitupatia national ID basi lakini nationally kwenye character kwa maoni yangu tume-fail miserably.
- Sisi wananchi ni waongo, I mean taifa zima ni waongo, wezi, waumini wa uchawi, wanafiki, halafu masikini ya Mungu tunategemea viongozi wetu wa siasa wawe tofauti na sisi wananchi, it does not work tumekwama maana sasa nani wa kumfunga kengele paka?
- Hili ni taifa gani ambalo wote tumeharibikiwa?
Dawa ya moto ni moto. Kama mtu unajua kuwa ukiiba hamna yatakayokupata, lazima utaiba tu.
Lakini kama viongozi wote wala rushwa wakijua kuwa watafungwa, TRUST ME rushwa itapungua kwa kiasi kikubwa.
Kwa hiyo tuendelee kupeleka wala rushwa mahakamani na nidhamu itarejea polepole.
- Huu ni wakati muafaka kwa wasomi, wana-dini, na viongozi wetu wa siasa kukaa chini na kujaribu kutafakari kwa makini, kwa sababu sio siri kwamba taifa letu limekumbwa na crisis kubwa sana ya character, Mwalimu alitupatia national ID basi lakini nationally kwenye character kwa maoni yangu tume-fail miserably.
- Sisi wananchi ni waongo, I mean taifa zima ni waongo, wezi, waumini wa uchawi, wanafiki, halafu masikini ya Mungu tunategemea viongozi wetu wa siasa wawe tofauti na sisi wananchi, it does not work tumekwama maana sasa nani wa kumfunga kengele paka?
- Hili ni taifa gani ambalo wote tumeharibikiwa?
1. Katika kipindi hiki tumeshuhudia sheria zikivunjwa na viongozi wetu wazi wazi na watuhumiwa wasichukuliwe hatua, eti ushahidi hautoshi.
2. Raisi anapounda serikali na kuteua viongozi, sasa ikionekana dhahiri kabisa mbele ya umma kuwa wanaboronga - halafu asite kuwatimua, eti anasubiri ushahidi au uamuzi wa mahakama - kwani mahakama zilimshauri katika kuwateua ?
3. Ni wazi hapa anasukumwa na dhamira moja tu nayo ni kulinda maslahi ya marafiki na wabia wake ndani ya chama na serikali - huu ni ukosefu wa nia na ujasiri.
4. Tanzania inaangamia kwa kuwa maslahi ya wachache yamewekwa mbele ya maslahi ya taifa na watu wake.
5. Chama chochote kile kinachoendeleza dhana hii ya kijinga, hakitufai.
6. Watanzania tuamke - we have been taken for a ride for too long !!
7. Serikali inaonekana imeelemewa na inahitaji msaada wetu. Gari limekwama na dereva ujanja umemwishia, tushuke, tulisukume na tuliondoe kwenye tope.