Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
- Thread starter
- #41
Mushi ana ugumu wa kuelewa maandishi kweli duh! siyo kila kitu kinachoandikwa ndivyo kinamaanishwa hivyo. Kuna vitu vinaitwa irony, sarcasm n.k jifunze kidogo utaelewa mtu anaweza akasema kitu kumbe anachoseme ni zaidi unachosoma. Duh!