The king makers

The king makers

Nilikuwa na mashaka kama nitaweza kuelewa hii story lakini kwa uwezo wako wa kuichambua na kuiweka on simplest way nashukuru sana kwani mbaka sasa tunaenda pamoja mubashara kabisa heshima kwako kaka
Hahaha!! Pamoja sana komrade, shukrani..
 
Pamoja na kwamba huwa haunitag lakini Mimi ni moja wa wafuasi wako..kudos broo..unajua haya ndio matumizi bora ya akili...
 
Duh, ngoja nitengenezewe juice ya ukwaju na samaki aliekaangwa aina ya Tasi mwamba ili nipate kujua.
 
Je, mahakama ya Korea ni huru?
Je, Lee akikutikana na hatia(assuming mahakma ni huru) Samsung itaparaganyika?
 
Ukiendelea kupost makala hizi naomba usiache kunitag Mkuu..
[HASHTAG]#Roby[/HASHTAG] Lee..
 
Nimeona mkuu The Bold......Nitasoma baadae......Busy busy......
 
Inasemekana Manji anamiliki kampuni ya tigo kwa utaratibu wa kampuni nyingi zenye hisa kidogo kidogo
 
Back
Top Bottom