The bold ungeweka tu hapa mambo yote, huko kwa link kunazinguaHahaha.. Pamoja chief
Pamoja sana..Nimeona mkuu The Bold......Nitasoma baadae......Busy busy......
Hahahahah.. ShukraniAsante mkuu...ndo naingia hapa nakutana na hii nta .....doh we mbaya sana
Rushwa..Huyo CEO ameshutakiwa kwa kosa gani??
Kabisa..Ahsante kwa makala, nazani wabongo waje kujifunza, wale wanataka Manji asibuguziwe sababu ameajiri watu wengi.. Wanataka avunje tu sheria
Karibu sana Mkuu.. PamojaJapokuwa leo ni siku ya pili,
But sijachelewa story ndio inaanza ,
Nimewahi siti za katikati kisha nakunja nne naifuta miwani yangu na kuiweka vyema,
Naanza kutoa like kwanza kama apreciation,
Mwisho naanza kuperuzi taratibu huku nikiwa nashushia juisi ya ukwaju.
Ngoja nichungulie Mkuu..Mkuu the bold nimekufata PM sijapata majibu yoyote hasa kuhusiana na ile vipepeo weusi :mkakati 0034 naomba nigawie sehemu ya utukufu wako kidogo.
Shukrani Mkuu..Umetisha mkuu @ The Bold. Kazi nzuri sanaaaaaaa