Samsung ni zaidi ya simu huko Korea Kusini

Samsung ni zaidi ya simu huko Korea Kusini

bless on

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2026
Posts
750
Reaction score
1,745
Samsung ni kampuni ya simu? ndio nje ya Korea sio ndani ya Korea, ukiulizwa kuhusu kampuni ya Samsung utajibu haraka haraka kwamba inahusika na utengenezaji wa simu Ila ukifika Korea kusini Mambo ni tofauti kabisa kwa Korea.
Samsung ni kama nchi ndogo ambayo Ina operate hapo Korea.
Mwenyekiti wa Samsung ana nguvu kubwa kuliko hata rais wa nchi hiyo, unashangaa?

acha nikujuze Samsung Ina control asilimia 23 ya GDP ya Korea kusini, kwa mwaka kampuni hii inaingiza Dola bilioni 140. Hizo ni pesa nyingi sana ni zaidi ya mapato ya nchi 150 hapa Duniani.

Kuhusu simu?

Hiyo ni biashara ndogo sana inayofanywa na Samsung, yaani ni kama ice cream kwa bakhresa. Hawa Samsung kwanza ndio wanatengeneza display panels na memory chips ambazo hizo hizo wanawauzia apple na kuziweka kwenye simu zao za Iphone. Samsung pia wanahusika na ujenzi wa majengo makubwa mengi tu hapa Duniani.

Unalijua jengo la Burj khalifa? Hilo lilijengwa na kampuni hii ya Samsung.
Unalijua jengo la Taipei? walilijenga Hawa majamaa.
Ukiachana na hayo wamefanya ujenzi wa majengo mengi sana. Samsung haishii hapo anashirikiana na watu wa nchini mwake, how?
Watoto asilimia sitini nchini humo wanazaliwa katika hospitali zinazomilikiwa na Samsung. Wananchi wengi wanaishi katika nyumba zilizojengwa na kumilikiwa na Samsung.
Wanafunzi wengi wanasoma katika shule zilizojengwa na kumilikiwa na Samsung. Watu wengi Wanafanya kazi katika kampuni ya Samsung, watu wengi wanaishi katika hotel za Samsung, watu wengi wanatumia vifaa vya kampuni ya Samsung kama televisheni, mafriji na mengine mengi.
Samsung Ina wafanyakazi laki Tano kinachofurahisha kampuni hii ilianzishwa miaka 87 iliyopita kwa kuuza samaki tu.

Walikuwa wanavua samaki na kuuza sokoni Ila Leo Ina wafanyakazi hao wote.
Wafanyakazi hao wote Wanafanya kazi katika makampuni zaidi ya 80 ambayo yapo chini ya Samsung Duniani kote.

Ikitokea siku Samsung kafirisika basi ujue na uchumi wa Korea kusini utakuwa umeanguka vibaya sana.

360_F_385462707_owlA1exl4DBKVO7N6TvTHm447mT5VKtA.jpg
 
Power of generation wealth. Mbongo hajakuta chochote toka kwa babu zake anataka kumfikia MO angali hai.

Trust in the process, usishikwe na tamaa ya kugain Pride kwa watu, Jitoe kwa vizazi vyako vijavyo na uwaandae warithi wako vyema.
 
Wagugo hawa Hyosung.... Ni noma wanatemgeneza kila kitu
Tuletee maelezo yake Ila stori ya Samsung inavutia jinsi kampuni ilivyoanza Lakini pia watu wengi wanaijua kutokana na bidhaa zake za simu na vifaa vingine vya umeme hawajui kuwa Samsung ni zaidi ya hapo.
 
Samsung ni kampuni ya simu? ndio nje ya Korea sio ndani ya Korea, ukiulizwa kuhusu kampuni ya Samsung utajibu haraka haraka kwamba inahusika na utengenezaji wa simu Ila ukifika Korea kusini Mambo ni tofauti kabisa kwa Korea.
Samsung ni kama nchi ndogo ambayo Ina operate hapo Korea.
Mwenyekiti wa Samsung ana nguvu kubwa kuliko hata rais wa nchi hiyo, unashangaa?

acha nikujuze Samsung Ina control asilimia 23 ya GDP ya Korea kusini, kwa mwaka kampuni hii inaingiza Dola bilioni 140. Hizo ni pesa nyingi sana ni zaidi ya mapato ya nchi 150 hapa Duniani.

Kuhusu simu?

Hiyo ni biashara ndogo sana inayofanywa na Samsung, yaani ni kama ice cream kwa bakhresa. Hawa Samsung kwanza ndio wanatengeneza display panels na memory chips ambazo hizo hizo wanawauzia apple na kuziweka kwenye simu zao za Iphone. Samsung pia wanahusika na ujenzi wa majengo makubwa mengi tu hapa Duniani.

Unalijua jengo la Burj khalifa? Hilo lilijengwa na kampuni hii ya Samsung.
Unalijua jengo la Taipei? walilijenga Hawa majamaa.
Ukiachana na hayo wamefanya ujenzi wa majengo mengi sana. Samsung haishii hapo anashirikiana na watu wa nchini mwake, how?
Watoto asilimia sitini nchini humo wanazaliwa katika hospitali zinazomilikiwa na Samsung. Wananchi wengi wanaishi katika nyumba zilizojengwa na kumilikiwa na Samsung.
Wanafunzi wengi wanasoma katika shule zilizojengwa na kumilikiwa na Samsung. Watu wengi Wanafanya kazi katika kampuni ya Samsung, watu wengi wanaishi katika hotel za Samsung, watu wengi wanatumia vifaa vya kampuni ya Samsung kama televisheni, mafriji na mengine mengi.
Samsung Ina wafanyakazi laki Tano kinachofurahisha kampuni hii ilianzishwa miaka 87 iliyopita kwa kuuza samaki tu.

Walikuwa wanavua samaki na kuuza sokoni Ila Leo Ina wafanyakazi hao wote.
Wafanyakazi hao wote Wanafanya kazi katika makampuni zaidi ya 80 ambayo yapo chini ya Samsung Duniani kote.

Ikitokea siku Samsung kafirisika basi ujue na uchumi wa Korea kusini utakuwa umeanguka vibaya sana.

Mbona sasa hivi wameshuka Sana hawafiki tena hio 29% kwenye peak yao walikua karibia nusu ya Uchumi wa Korea, sasa hivi kuna Makampuni makubwa mengi kama Sky Hynx, LG na wengineo.

Long story short Uchumi wa Korea umekaa kimachale Sana, siku Marekani akiamka vibaya akisema Korea unarudi Zama za mawe hawana namna.
 
Marekani fala tu, anategemea uchonganishi ili afanikishe yake! Akaiguse hiyo Korea kama alivyofanya Venezuela aona atafanywa kitu gani ama ataweza kutimiza matakwa yake.
Mbona sasa hivi wameshuka Sana hawafiki tena hio 29% kwenye peak yao walikua karibia nusu ya Uchumi wa Korea, sasa hivi kuna Makampuni makubwa mengi kama Sky Hynx, LG na wengineo.

Long story short Uchumi wa Korea umekaa kimachale Sana, siku Marekani akiamka vibaya akisema Korea unarudi Zama za mawe hawana namna.
 
Mbona sasa hivi wameshuka Sana hawafiki tena hio 29% kwenye peak yao walikua karibia nusu ya Uchumi wa Korea, sasa hivi kuna Makampuni makubwa mengi kama Sky Hynx, LG na wengineo.

Long story short Uchumi wa Korea umekaa kimachale Sana, siku Marekani akiamka vibaya akisema Korea unarudi Zama za mawe hawana namna.
Hawajashuka ila uchumi wa Korea umekua zaidi kuliko uchumi wa Samsung unavyokua
 
Marekani fala tu, anategemea uchonganishi ili afanikishe yake! Akaiguse hiyo Korea kama alivyofanya Venezuela aona atafanywa kitu gani ama ataweza kutimiza matakwa yake.
Sasa kama Nchi nzima inategemea kampuni chache Ku survive, na hizo kampuni Asilimia kubwa zinategemea zikauze Marekani hahitaji hata kuwagusa, akikata mirija kwake Tu hawana tena ubavu wa Ku compete, unlike Nchi kama Japan, China etc Korea Wana uwezo mdogo Sana wa kujiamulia.
 
Hawajashuka ila uchumi wa Korea umekua zaidi kuliko uchumi wa Samsung unavyokua
Upo sahihi kwa Korea kukua zaidi Ila hata Samsung amedrop pia, japo sasa hivi Memory zinawasaidia ila department nyengine zimepungua Mauzo na faida.
 
Samsung ni kampuni ya simu? ndio nje ya Korea sio ndani ya Korea, ukiulizwa kuhusu kampuni ya Samsung utajibu haraka haraka kwamba inahusika na utengenezaji wa simu Ila ukifika Korea kusini Mambo ni tofauti kabisa kwa Korea.
Samsung ni kama nchi ndogo ambayo Ina operate hapo Korea.
Mwenyekiti wa Samsung ana nguvu kubwa kuliko hata rais wa nchi hiyo, unashangaa?

acha nikujuze Samsung Ina control asilimia 23 ya GDP ya Korea kusini, kwa mwaka kampuni hii inaingiza Dola bilioni 140. Hizo ni pesa nyingi sana ni zaidi ya mapato ya nchi 150 hapa Duniani.

Kuhusu simu?

Hiyo ni biashara ndogo sana inayofanywa na Samsung, yaani ni kama ice cream kwa bakhresa. Hawa Samsung kwanza ndio wanatengeneza display panels na memory chips ambazo hizo hizo wanawauzia apple na kuziweka kwenye simu zao za Iphone. Samsung pia wanahusika na ujenzi wa majengo makubwa mengi tu hapa Duniani.

Unalijua jengo la Burj khalifa? Hilo lilijengwa na kampuni hii ya Samsung.
Unalijua jengo la Taipei? walilijenga Hawa majamaa.
Ukiachana na hayo wamefanya ujenzi wa majengo mengi sana. Samsung haishii hapo anashirikiana na watu wa nchini mwake, how?
Watoto asilimia sitini nchini humo wanazaliwa katika hospitali zinazomilikiwa na Samsung. Wananchi wengi wanaishi katika nyumba zilizojengwa na kumilikiwa na Samsung.
Wanafunzi wengi wanasoma katika shule zilizojengwa na kumilikiwa na Samsung. Watu wengi Wanafanya kazi katika kampuni ya Samsung, watu wengi wanaishi katika hotel za Samsung, watu wengi wanatumia vifaa vya kampuni ya Samsung kama televisheni, mafriji na mengine mengi.
Samsung Ina wafanyakazi laki Tano kinachofurahisha kampuni hii ilianzishwa miaka 87 iliyopita kwa kuuza samaki tu.

Walikuwa wanavua samaki na kuuza sokoni Ila Leo Ina wafanyakazi hao wote.
Wafanyakazi hao wote Wanafanya kazi katika makampuni zaidi ya 80 ambayo yapo chini ya Samsung Duniani kote.

Ikitokea siku Samsung kafirisika basi ujue na uchumi wa Korea kusini utakuwa umeanguka vibaya sana.

Umesema Billion 150 ni zaidi ya mapato ya nchi 150....Yan,jumla ya GDP ya nchi hizo au...?
 
Sasa kama Nchi nzima inategemea kampuni chache Ku survive, na hizo kampuni Asilimia kubwa zinategemea zikauze Marekani hahitaji hata kuwagusa, akikata mirija kwake Tu hawana tena ubavu wa Ku compete, unlike Nchi kama Japan, China etc Korea Wana uwezo mdogo Sana wa kujiamulia.
S. Korea haitegemei kampuni chache
Hizo Samsung, LG nk ni biggest companies ila wanazo kampuni nyingi sana zilizoajiri watu wengi tu na kuwezesha maisha ya mamilioni ya wakorea kuwa mazuri
 
S. Korea haitegemei kampuni chache
Hizo Samsung, LG nk ni biggest companies ila wanazo kampuni nyingi sana zilizoajiri watu wengi tu na kuwezesha maisha ya mamilioni ya wakorea kuwa mazuri
Umesoma Uzi lakini? South Korea ni Samsung, Sky Hynx na LG, maybe kwa mbali Hyundai,

1756156192171.jpeg

Hakuna kampuni nyengine ambayo inafika 10% ya Samsung hapo Korea,

Total hizo kampuni 4 nilizokutajia juu zina amount 40% ya Export GDP.

Hivyo vikampuni vidogo vidogo pia zinategemea Sana hayo mapapa, yakidondoka mapapa na wao pia wanayumba ama Kufa.
 
Umesoma Uzi lakini? South Korea ni Samsung, Sky Hynx na LG, maybe kwa mbali Hyundai,

View attachment 3595381
Hakuna kampuni nyengine ambayo inafika 10% ya Samsung hapo Korea,

Total hizo kampuni 4 nilizokutajia juu zina amount 40% ya Export GDP.

Hivyo vikampuni vidogo vidogo pia zinategemea Sana hayo mapapa, yakidondoka mapapa na wao pia wanayumba ama Kufa.
Sasa mnavyosema Marekani inaweza kuiangusha S. Korea, wataiangushaje? Maana kikubwa wanachoweza labda kubania Samsung upande wa electronics, tena ni simu na tablets pekee, labda na laptop kama walivyofanyia Huawei
Samsung is bigger than that. Hiyo kampuni ndio imeshafikia hapo, huwezi kuiangusha hata kama ni super power
 
Back
Top Bottom