Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,748
- Thread starter
- #21
Pamoja sana Mkuu..Mkuu The Bold umeona wanafunzi wako tupo wengi
Pamoja sana Mkuu..Mkuu The Bold umeona wanafunzi wako tupo wengi
Shukrani Mkuu.. Nitafanyia kazimkuu ile kitu nimeiona kule lakini ina mambo mengi sana kwa watu wenye kichwa chepesi ni vigumu sana kupata wanachokitaka kule....lakini ni kazi nzuri hongera sana mkuu...uweke na access tuweze kulog in kama humu.
Ni yangu na wenzngu.. Tuko vijana kadhaa, mimi nikiwa Tz, kuna mmoja yuko kenya na mwingine Uganda.!! Ndio maana unaona pia kuna content nyingi ya habari za kenya na Uganda.. Goal yetu tunataka kuhudumia kwa habari na makala jamii yote ya East Africa..je hii tovuti ni yako Home ?? kama ni yako hongera sana mkuu...
thanks alot ntaanza kujumuika Ila namalizana na Bashite
![]()
![]()
![]()
Kwani bado tu?? Si ametoboa tayari, anaendelea kukalia kiti?
sasa tunaenda kwenye vote of no confidence kwa baba àkeNi yangu na wenzngu.. Tuko vijana kadhaa, mimi nikiwa Tz, kuna mmoja yuko kenya na mwingine Uganda.!! Ndio maana unaona pia kuna content nyingi ya habari za kenya na Uganda.. Goal yetu tunataka kuhudumia kwa habari na makala jamii yote ya East Africa..
![]()
sasa tunaenda kwenye vote of no confidence kwa baba àke
Shukrani sana Mkuu!vizuri mkuu nategemea kuwa na traffic wa kutosha kwenye hii website ambayo wewe ni founder.. nakutakia mema mkuu, mimi kama mdau wako kwenye elimu na maendeleo...
Shukrani..Asante sana
Pamoja sana Mkuu.. ShukraniBaba hatar sana umetisha mkubwa tuko pamoja...
Tuombe uzima.. Nitawagusia one dayMkubwa naamini mbele huko utawaelezea na familia ya rockerfeller mana leo David Kafariki ana miaka 101
Ungeweka wewe hizo percent unazozifahamu sio kubisha tu kama mwehu vileAcha uchuro. Mohamed Enteprises hajawahi kuwa mlipa kodi mkubwa hapa TZ. Hiyo 3.5% umeitoa wapi?