The Interview: mshana Jr.

Mkuu ,kuna watu wanalalamika kuwa kuna nguvu zinawakaba usiku yaani mtu anajikuta amegandamizwa hata kugeuka hawezi na sauti haitoki ,je hizi nguvu zitokea wapi na ni zipi njia za kuziepuka?
Kuna michezo ya wanga lakini pia hata kulala chali huchangia tatizo
 
Mkuu,hapo ndo unapo waaancha wengi njia pandaa,maana kwa jinsi uelewa wako wa haya mambo wengi wanashangaaa unaposema una mwamini mungu mmoja katika nafsi tatu.pamoja sana mkuu.
Sina waa katika hilo ninajua kwa hakika kwanini naamini katika yeye kwakuwa nimepita nilikopita nikaona na kushuhudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…