Mshana tunafahamu kwamba Mwenyezi Mungu ameandaa maisha ya kila mtu hapa duniani na hatma yake. Eg: Utakuwa mtu flani, utamiliki hiki au kile n.k.
Sasa wachawi kwa mfano wanaposema wanakuharibia (kukufunga ) ili usifanikiwe , jambo hili laweza kudumu mpaka mwisho? Kama ndiyo, je? Maana yake ni kwamba wachawi au nguvu za Giza zinaweza kuzuia mpango wa Mungu kwa MTU?
Kama jibu ni hapana,je? Ni kwa muda gani vifungo hivi huweza kumwacha MTU?
Asante