Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
Nyani Ngabu ukiona jibu kama hili ujue mwenzio wakati huo either alikuwa chekechea au hakuwa amezaliwa kabisaaaaa, lol!Dah Chick King aisee
umenikumbusha mbaali..
Nyama ya farasi
mimi nimekaa kgamboni now its 10yrs nisimjue tasi mimi kweli ,
nyoo kumbe ulikuwa unazunguka mbuyu eeee mimi naendga kuwanunua fresh baharini asubuhii 12 .inabidi unanipa taarifa mapema.Nikija utanipikiaeee:becky:
nyoo kumbe ulikuwa unazunguka mbuyu eeee mimi naendga kuwanunua fresh baharini asubuhii 12 .inabidi unanipa taarifa mapema.
ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaa jua jiwe limempata mtu huko sorry sijamlenga mtu wewe hujaona watu hapo wanauliza lini inafunguliwa jamani??????????
wanatuongezea vitambi tu hakuna la zaidihao kuku ni watamu balaa!! japo ni expensive ila ni watamu mnoooooo! nairobi huwa tunapanga na foleni kabisaaaaaaaa! japo full ni 4 thou kshs, ila hiyo nyomi ni balaaa!! nitakuwa mteja wao haswaaaaaaa, welkam kfc in bongo!
hubby wangu ndio ugonjwa wake! Mzima wewe?wanatuongezea vitambi tu hakuna la zaidi
Utamu ni pickling spice au asili ya kuku? Eating places nyingi Nairobi hawatumi spices ni standard tomato sauce and salt for chips chicken. Dar make better chips and chicken hadi mitaani. Alternative to chips chicken vyakula vya mswahili at Malindi dishes Nairobi CBD, off Luthuli avenue. Food is good and prices fair. Frequent place since my student days.
ha ha haaa, mzima mamiii, hofu kwako......hubby wangu ndio ugonjwa wake! Mzima wewe?
Utasikia wanaomba tenda ya kuchinja vibalakashia.