The first KFC restaurant in Tanzania !

The first KFC restaurant in Tanzania !

Go east or west, NANDOS is the best for me..utamu hadi kisogoni na masosi yake, yummmy!!!

Nakuona mtani ha ha ha,

Naona umewapa A nandos, hao wanakubalika kila kona ni watamu sana kuku wao. Lakini hawa KFC kuku wao ukimla moyo unaenda mbio utasema yale mafuta yameenda kuziba mishipa ya damu ghafla
 
Kwa wasijua madhara yake ni haya!





 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    26.9 KB · Views: 82
  • image.jpg
    image.jpg
    16.1 KB · Views: 83
ndio hivyo tena starehe gharama...but let me say something,tuache ushamba kupapalikia mambo ya kimagharibi,haya mavyakula kiafya hayana mpango wala nini,wao wenyewe wanadiscourage ulaji wa mavyakula haya ndio maana kwenye nchi zao hayana market wanawaletea nyie na watu wa Asia!

Uko right kabisa, yani hivi vyakula huku havina deal kabisa lakini wakituletea africa tunapigwa bei ya ajabu and at the same time hatujui madhara yake in our bodies!
 
Hivi hujui kwamba nyama ya farasi inaliwa na baadhi ya sehemu ni more expensive kuliko hata beef.., (hapo tatizo watu hawakujua wanakula nini) ila nyama ya farasi inaliwa na imekuwa inaliwa since the beginning of time.

ndio hapo watapo changanya na nguruwe...si inaliwa tangu begining of time....kwa nini wasichanganye? halafu hawasemi.kuwambia walaji sio ndo zao wazungu bwana?
 
ndio hapo watapo changanya na nguruwe...si inaliwa tangu begining of time....kwa nini wasichanganye? halafu hawasemi.kuwambia walaji sio ndo zao wazungu bwana?

Well if you cant handle the heat stay out of the kitchen
 
426027_419055258177385_1866095449_n.jpg

KFC Tanzania coming soon - Mikocheni, just opp Feza Nursery school.........

KFC, the world’s largest quick-service chicken restaurant chain with over 12,300 outlets in more than 80 countries..

Sorry guys. However trendy it may look to you (kitu kipya chenye hadhi ya kimataifa intown etc) in a nutshell it implies there is A NEW WORLD REKNOWN JUNK FOOD OUTLlET in town.
 
KFC introduced grilled chicken about 3 or 4 years ago.

Nakumbuka hadi Oprah akatoa offer siku moja ya kununulia kila mtu grilled chicken....hata wenu mtiifu nilienda kupanga mstari siku hiyo kupata
hicho kipande cha kuku choma courtesy of Ms. Winfrey

Wanao grilled chicken ndio maana nikasema kama watatoa hio option ka Tz pia.
 
Lakini ngoja kwanza...kwa sisi wazawa wa DSM tunakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 90 kulikuwa na Chick King ambayo ilikuwa inauza kuku kama hao hao wa KFC.....

Nani anakumbuka? The Boss hebu njoo huku
Unaenda mbali sana Nyani,hata steers wapo and they are doing almost the same,sema tatizo hapa ni marekani labda!
 
hao kuku ni watamu balaa!! japo ni expensive ila ni watamu mnoooooo! nairobi huwa tunapanga na foleni kabisaaaaaaaa! japo full ni 4 thou kshs, ila hiyo nyomi ni balaaa!! nitakuwa mteja wao haswaaaaaaa, welkam kfc in bongo!

Tatizo bei ila ni wazuri sana hawa Kentucky

this is what i was waiting for damn it....jucy chickens ...hahahahahaaha yammy yammy

Mambo yote tisa kumi Popeyes chicken, kentucky na spicy chicken wapi na wapi?

Lakini ngoja kwanza...kwa sisi wazawa wa DSM tunakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 90 kulikuwa na Chick King ambayo ilikuwa inauza kuku kama hao hao wa KFC.....

Nani anakumbuka? The Boss hebu njoo huku

kabla ya kuitwa Chick King ilikuwa inaitwa Nazi Hotel, unaikumbuka?
 
TZ ndo kunapambazuka na KFC....aisee....mmmmh nashangaa kwanini iwe ghali ilihali ni junkiee
 
Back
Top Bottom