![]()
KFC Tanzania coming soon - Mikocheni, just opp Feza Nursery school.........
KFC, the worlds largest quick-service chicken restaurant chain with over 12,300 outlets in more than 80 countries..
hao kuku ni watamu balaa!! japo ni expensive ila ni watamu mnoooooo! nairobi huwa tunapanga na foleni kabisaaaaaaaa! japo full ni 4 thou kshs, ila hiyo nyomi ni balaaa!! nitakuwa mteja wao haswaaaaaaa, welkam kfc in bongo!
watamu kweli....wenzenu..wanalishwa nyama za farasi..ulaya..wakifikiri..ngombe...kumbe horsemeat.....na kama hawatachinja waislam basi..hatuli...lol
Expensive ???? Inategemea unaongelea wapi.., kuna sehemu wanauza family pack, kisadolin (ndoo ndogo) imejaa miguu ya kuku less than 25 thousand ya kibongo na hapo unapewa na free drinks (all in all this is junk food) na katika kuku watamu KFC hawawezi kumfikia Nandos.., na sauce yao ya Peri Peri na ukikuta baadhi ya outlets unapata na offer ya bottomless drink (unakunywa soda unavyotaka..),
Kwahiyo in short...
Best Burger (Burger King)
Best Chicken (Nandos)
Best Snacks (Gregs)
Best Sandwich (Subway)
Best Chips Mayai (Kitaa)
Best Menu /Safe Menu (Home made)
Naona tunashangilia magonjwa.
Kuleni wa kuchoma(kama wataweka hio option) sio wa kukaanga.
Nawatakia biashara yenye mafanikio na waongeze ajira kwa vijana.