usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,870
Sasa strike mwenyewe mmeinvestHaina haja kulilia maziwa yaliyokwisha mwagika.
Kwa Costa kweli tulikosea nadhani hiyo treatment ya Costa ndiyo ilipelekea hata Kocha kuondoka.
Ila Costa sio striker pekee aliyebaki. Tunaweza invest kwa striker mwingine au alternative bora ni kutafuta striker wa kawaida na kuinvest zaidi kwenye attacking midfielders/wingers na defensive midfielders.
N groud?????
Mara 10 mngenunua hata Auba