Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,879
- 2,554
EPL ngumu sana mkuu.Hao Spurs nao hawaeleweki.Hivi yule kocha wetu akiona mechi kama hizi ajiulizi ufundishaji wake ulivyo
EPL ngumu sana mkuu.Hao Spurs nao hawaeleweki.Hivi yule kocha wetu akiona mechi kama hizi ajiulizi ufundishaji wake ulivyo
Yap...for sure.Yuropa league mwakani!
Ndiyo size yenu huko
Huku UCL kwa kweli team hamna!
Tuachieni sisi wenye mashindano yetu
Kwao ni rekodi kwa kuwa leo wamepata matokeo.Wananikumbusha chama langu lilivyokuwa wakati David Moyes anaruhusu watu wanavunja na kuweka rekodi pale OT.Last time Tottenham won at Stamford Bridge was 1990!
Mechi gani? Hawa wote kawaacha nyuma point karibu kumi, sasa kuna jipya hapa?Hivi yule kocha wetu akiona mechi kama hizi ajiulizi ufundishaji wake ulivyo
Kwa sasa wamuache tu amalize msimu.Arsenal yupo nyuma yenu. Ila Sina hakika kesho Conte kama atakuwa klabuni
Ha ha haFantastic football from Tottenham.....3-1
Teh teh teh tehSina la kuandika mpaka siku ya J5 maana naona mlitumia nguvu nyingi kweli sijui kama mtakuwa salama
DuhMorata kaanza. OG benchi. Not bad. Kikosi kiko poa
Mechi gani? Hawa wote kawaacha nyuma point karibu kumi, sasa kuna jipya hapa?
Hahaa.. Masikini akizipata bhana, matter core hulia mbwata.Yuropa league mwakani!
Ndiyo size yenu huko
Huku UCL kwa kweli team hamna!
Tuachieni sisi wenye mashindano yetu
Endelea kuota.Man City anakufunga
Wewe msimamo wa EPL mwishoni utakuwa wa 4!Ni kweli utacheza UCL mwakani lkn utamaliza wa nne
Man City
Liverpool
Totenham
Man U
Mark my words, EPL itaisha hivi;
1. Manchester City
2. Liverpool
3. Chelsea
4. Manchester United
ulipima malaria mkuu?Form aliyokuwa nayo Liverpool sasa hivi ni unstopable. Hata angekukuta gulioni angekuchapa sembuse OT? Chelsea condition moja tu inaweza kuiondoa top 4! Nayo ni kufungwa na Man City j2
Asante makamo bingwaMan City anakufunga
Wewe msimamo wa EPL mwishoni utakuwa wa 4!Ni kweli utacheza UCL mwakani lkn utamaliza wa nne
Man City
Liverpool
Totenham
Man U
Game ya Chelsea imeishaje?Europa here we come....
Kapigwa 3-1Game ya Chelsea imeishaje?