The _Analyst
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 466
- 562
Sema utakavyo lakini ukweli ni kwamba Uongozi wa Terry anakosekana pale nyuma, na hapo nieleweke kwa sababu simaanishi mabeki wetu ni wabovu. La hasha! Namaanisha UONGOZI wa Terry unakosekana pale nyuma. Terry akiwa uwanjani angeweza kumwambia Ludigar Fanya hivi, na maamuzi yale yakasaidia. Kumbuka Ludigar na Christensen hawana uzoefu wa kutosha. Sasa wanapokuwa na kiongozi inawajenga zaidi. Azpillicueta anajitahidi ila Terry is a miss. Kuhusu Lampard pia bado naamini pengo lake hakijazibwa. Fab hana kasi inayohitajika lakini pia unamuona umri ukizidi kusogea.Zaman nilikuona unachambua mambo fresh ila sku zinavoenda unaniangusha sana..
Shda ya chelsea sio beki, shida ni kukosekana kwa mastreka wa ukweli na wenye nguvi na weledi wa ushapu (quick technical skills)
Kama umeangalia vzur mipira yetu tunachelewa kutoa maamuz pale golin na hii ni kwa sabab hatuna vipaji vya wasaka magoli ,. Wengi pale ni waunganishaji ila si wamalizaji.
Pia msimu huu kuna kama ka-gundu flani kwenye timu yetu, runakosakosa sana hatuna bahat ya mpra.. Inaezekana mwaka huu ni tasa kwetu.. Conte akasafishe nyota kwa mwakani
Kuhusu Drogba naona tunakubaliana kwamba striker ni tatizo kubwa kwetu. Maana pamoja na mambo yote Chelsea inatengeneza nafasi za kutosha. Finishing tu inaleta shida.