Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
hata hao legends wake anawajua basi? yeye kutwa anaifatilia Chelsea unafikiri ya kwao atayajua saa ngapi?umemsikia legend wako analalamika jinsi manU inavocheza boring football??????
hata hao legends wake anawajua basi? yeye kutwa anaifatilia Chelsea unafikiri ya kwao atayajua saa ngapi?umemsikia legend wako analalamika jinsi manU inavocheza boring football??????
Msimu gani ambao Mourinho alimuweka Cahill bench akawa anampanga Zouma?azpiculeta hizi mechi mbili kacheza hovyo sana, but cahil ni LIABILITY hilo hata haliitaji jicho la tatu,
mbona mourinho alikua anamuweka benchi na kumpanga zouma and no body complain?????
cahil mda wake umepita, walikuwepo akina ivanovich, carvalho, terry kwenye ubora wao ila walivo demise wakawapisha vijana wa kazi.
conte msimu huu atauona mgumu na kushindwa kufikia target kama ataendelea kuwakumbatia wachezaji ma floppy kama [cahili+fabregas].
hata hao legends wake anawajua basi? yeye kutwa anaifatilia Chelsea unafikiri ya kwak atayajua saa ngapi?
Siyo kweliConte anajitakia mwenyewe kupoteza match
Msimu gani ambao Mourinho alimuweka Cahill bench akawa anampanga Zouma?
Fabregas Flop? kwa takwimu zipi? au tuambie maana ya flop kwanza
Mbona spurs mshawafunga?My team the BLUES, j washabiki wa Chelsea tumeumia MNO, mechi ya pili mfululizo kufungwa, William, hazard na batswayi wamecheza chini ya kiwango MNO. Kwa mpira huu, tukikutana na man u, Liverpool, spurs, man city tutalula nyingi sana, ni lazima wachezaji wajitume sana
Ha ha haWengine siyo wakuu humu unampa cheo bure
Katika msimu wake wa mwisho Mourinho yaani 2015/2016 timu nzima ilivurugika kabisa kuna wakati Hazard alikaa bench kuna wakati Fabregas alikaa bench kuna wakati Ivanovic na Terry walikaa bench hata katika mechi dhid ya Southmpton darajani tunakufa 3-1 Matic aliingizwa kipindi cha pili na kishakutolewa katika kipindi hicho hicho cha pili kwahiyo katika msimu huo hakuna mchezaji aliyekuwa na uhakika wa namba katika kikosi cha kwanza isipokuwa kipa na Willian kwani Willian ndiyo alikuwa mchezaji bora wa Chelsea msimu ule.msimu wake wa mwisho, hivi hamuoni cahili anavokuwa abused mostly from his/her supporters on twitter and social network???????
ulimsikia thierry henry anavomuelezea cahil kuwa ndo weak point ya chelsea??????
ulimsikia roy hodgson baada ya kutufunga aliongea kuwa aliwapanga akina zaha wam target cahil ndo weak point???????
cahili huyu awapishe vijana wa kazi.
conte namkubali sana, ila akiendelea kuwakumbatia watu kama akina cahili na fabregas aiseee hapo no way out.
Magoli tuliyofungwa na Crystal Palace la kwanza la kujifunga na la pili limetokea upande wa Azpilicueta.msimu wake wa mwisho, hivi hamuoni cahili anavokuwa abused mostly from his/her supporters on twitter and social network???????
ulimsikia thierry henry anavomuelezea cahil kuwa ndo weak point ya chelsea??????
ulimsikia roy hodgson baada ya kutufunga aliongea kuwa aliwapanga akina zaha wam target cahil ndo weak point???????
cahili huyu awapishe vijana wa kazi.
conte namkubali sana, ila akiendelea kuwakumbatia watu kama akina cahili na fabregas aiseee hapo no way out.
Nasikia hapo cahil alikuwa anapuliza huo mpira ili utoke kwenye himaya ya huo mguu Wa opponent wake!
Katika msimu wake wa mwisho Mourinho yaani 2015/2016 timu nzima ilivurugika kabisa kuna wakati Hazard alikaa bench kuna wakati Fabregas alikaa bench kuna wakati Ivanovic na Terry walikaa bench hata katika mechi dhid ya Southmpton darajani tunakufa 3-1 Matic aliingizwa kipindi cha pili na kishakutolewa katika kipindi hicho hicho cha pili kwahiyo katika msimu huo hakuna mchezaji aliyekuwa na uhakika wa namba katika kikosi cha kwanza isipokuwa kipa na Willian kwani Willian ndiyo alikuwa mchezaji bora wa Chelsea msimu ule.
katika msimu wa 2013/2014 (Ivanovic Cahill Terry Cole) na 2014/2015 (Ivanovic Cahill Terry Azpilicueta) chini ya Mourinho panga pangua Cahill alikuwa anaanza na katika msimu wa 2016/2017 (Azpilicueta Luiz Cahill) chini ya Conte panga pangua Cahill alikuwa anaanza sasa naomba uniletee huo wakati ambao Zouma alikuwa anamuweka bench Cahill akiwa fit.
Tuseme Cahill mbovu kwa sasa haya Conte anampendelea na timu ya taifa je mbona anaanza? au na kule kikosi anapanga Conte?
Magoli tuliyofungwa na Crystal Palace la kwanza la kujifunga na la pili limetokea upande wa Azpilicueta.
Magoli ya Roma la kwanza limetokea kwa Azpilicueta la pili ni kosa la Christensen kuchelewa kumkaba Dzeko baada ya kupigwa pasi ndefu la tatu kichwa sasa Cahill kosa lake lipi hapo? Naomba uwe unaongea kwa facts mkuu siyo kusema flani kasema hivi flani kasema vile hata wewe unaweza kuwa flani na ukasema pia ukipata nafasi ya kusema
usipoitwa timu ya taifa ni either perfomance yako imeshuka au wapo walio perform zaidi yakokigezo cha kuanza team ya taifa sio facts, mbona mikel obi hakucheza hata mechi moja chini ya conte na team ya taifa alikua anaanza na alikua captain??????
david luiz kacheza vizuri recent 2 seasons na team ya taifa haitwi unalizungumziaje hili???????
miraras everton hana namba ila national team anapangwa huyu nae utamzungumziaje??????
kante team ya taifa alikua anakaa benchi mbele ya pogba hukuona??????
cahili zama zake zimepita, sijajua unamkingua kifua kwa vigezo gani??????
Mbona unahama point moja kwenda nyengine mkuu hapa tunaongelea jinsi unavyosema Cahill ndiyo chanzo cha Chelsea kufungwa hatuongelei maswala ya kuwafokea wachezaji kwasababu hilo hatuwezi kuwa na uhakika nalo maana mimi na wewe hatujui kinachoendelea katika vyumba vya kubadilishia nguo na mapumziko lakini kwa uwanjani Cahill anaiongoza vizuri sana Chelsea.umemsikia vice captain jana alivosema baada ya ku draw na rom??????????
anakwambia morali ya team ipo chini, unajua 7b nini?????? cahil hawezi kuwafokea wenzake kama hawajitumi wakati wanajua fika wamemzidi kiwango, hivi unadhani cahil anaweza mwambia david luiz kuwa umekosea au hujitumi?????
cahili anaweza muambia hazard kuwa hujitumi??????
cahili anaweza muambia azpiculeta kuwa goal mbili zote uzembe wako??????
remember, kipindi cha captain terry.
usipoitwa timu ya taifa ni either perfomance yako imeshuka au wapo walio perform zaidi yako
David Luiz kacheza vizuri sawa vipi kuhusu akina Marquinhos,Miranda na T.Silva? Je aliperform vizuri kuliko hao?
Usinidanganye mkuu Mirallas tangu aanze kukosa namba Everton haanzi Belgium labda iwe mechi ya kirafiki au wameshaqualify
Kante tangu aanze kuitwa timu ya taifa lini kaka bench?
kwanza Kante na Pogba ni nafasi mbili tofauti watu wakumuweka Kante nje ni akina Matuidi na Labda Rabiot na je tangu Euro 2016 baada ya Kante kuperform Leicester lini ulimuona anawekwa bench?
Ulisema kwa Moira mnaocheza endapo mtakutana na spurs mtakula nyingi ndo nimekuuliza mbona mshawafunga? Kwa kukuuliza hivyo Namaanisha unachokisema kina upungufu.so???
what's u'r point???
Mbona unahama point moja kwenda nyengine mkuu hapa tunaongelea jinsi unavyosema Cahill ndiyo chanzo cha Chelsea kufungwa hatuongelei maswala ya kuwafokea wachezaji kwasababu hilo hatuwezi kuwa na uhakika nalo maana mimi na wewe hatujui kinachoendelea katika vyumba vya kubadilishia nguo na mapumziko lakini kwa uwanjani Cahill anaiongoza vizuri sana Chelsea.
Ulisema kwa Moira mnaocheza endapo mtakutana na spurs mtakula nyingi ndo nimekuuliza mbona mshawafunga? Kwa kukuuliza hivyo Namaanisha unachokisema kina upungufu.