>*< The BEST of Angeline Jolie >*<

Kabla hatujaandamana naomba mwambie Invii arudishe ile version ya threads ya zamani this is boring bana! lol

Hapo nipo ready kukusindikiza.

Kumbe tuko wengi? Inaniboa kweli hii... Jioni wen I logged in kuna thread nilifungua page ya mwisho nikakuta post yako inaongelea ile watu ku hold wanapoongea kwenye simu... And I said to myself leo EMT katuma such a brief post? nikaku qoute na ku comment briefly thinking it was the topic itself! lol
Message sent wakuu, tusubiri jibu lake mwenyewe.
 
Bila shaka una collection kubwa sana katika library yako.Na utakuwa ulianza kuangalia labda ukiwa mdogo sana(Sijui sahizi una age gani....kwani huwa nakuhisi kama mdada fulani kama Rita Paulsen wa BSS)....
Mim napenda muvi ila sijaanza kuangalia muda mrefu hizi za hollywood..Mie zangu zilikuwa za kinaijeria tu (mapenzi,uchawi na kanisani).
Sasa swali lingine......hizo movie zote unazipata hapa Dar? Duka gani?


hahaha.... Umenifurahisha kweli with your Imagination.. I love it (hata kama sio kweli...lol) For I lurve Rita Paulsen for the simple reason kua she is "HOT" and has Brains to stand as an Independent woman....

Nilianza kuangalia movies nikiwa mdogo saana, kama 7 years (chini ya hapo ilikua cartoons); Baba yangu Mpenzi (May he R.I.P) alikua anapenda sana movies his best actor alikua Clint East wood, Chuck Norris na Bruce Willis. Hao ndio ma actor wangu wa mwanzo kabisa kuwapenda... Movie zangu za kiutu uzima nilizo angalia enzi hizo nikawa napenda ni "The Good, The Bad & The Ugly" na Mackenas Gold (Sidhani hata kama ziko madukani hizi tena...)

Toka niko 7 years, nimekua, nimeolewa, nimezaa na kua mtu mzima sijawahi acha angalia movies.... ndio maaana nimeangalia nyingi mno! lol Hizo movies zipo madukani lakini ukitaka kupata za zamani then inabidi u down load or nunua movie collection ya single actor.... Za ki nigeria nimewahi angalia lakini sio zaidi ya 5.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hellow wana JF...

Leo nipo upande wa an actress Anjeline Jolie wa Holly Wood of whom I love too.
Naona ni moja wa actresses mwenye uwezo mkubwa sana kuigiza na huweza cheza
nafasi yoyote ile vilivo. Haijalishi ni nafasi gani na she can do it... Hio hunifanya nisake
movie zake kwa udi na uvumba. Do your share my Like/Love of her?? If YES Picha
zake zipi kwako wazipenda? Scene gani? Quote gani? Nafasi gani wapenda zaidi?
Na movie gani bora zaidi kwako? Alochemka? Na the Like.....

Among the Movies I love :

Beyond Borders
Salt
Mr. & Mrs. Smith
Challenging
Original Sin
The bone Collector
Taking Lives
The mighty Heart
na nyingine nyiingi.....

Pamoja Saana.

AshaDii.

Pamoja sana AshaDii....

Evelyne Salt ni nomaaaaaa.....

Hapo uongeze na The Tourist.....
 
Pamoja sana AshaDii....

Evelyne Salt ni nomaaaaaa.....

Hapo uongeze na The Tourist.....


THANKS Bala.... Na nilisahau kabisa hio The Tourist (how could I forget?!) Pia naipenda.

BTW... Please... Swali la kizushi eti Julia Roberts na Angelina Jolie nani zaidi? (not in looks but in uigizaji...lol)
 
Zion D... I am impressed dear.. haki tena usingesema ningekuchanganyia na wahindi humo...lol

Nimeshindwa wa grade tokana na ninavowapenda... Nimeweka woote niwapendao kwa list ya 15, na hapo namba usizingatie....


Men

  1. Bruce Willis
  2. Sean Connery
  3. John Travolta
  4. Denzel Washington
  5. Tom Cruize
  6. Johnny Deep
  7. Leonardo Decaprio
  8. Gerald Burtler
  9. George Clooney
  10. Slyvester Stallone
  11. Pierce Bronsman
  12. Nicholas cage
  13. Alpacino
  14. Antonio Banderas
  15. Brad Pitt.

Women

  1. Angelina Jolie
  2. Penelope Cruz
  3. Sharone Stone
  4. Helle Berry
  5. Tharndie Newton
  6. Julia Roberts
  7. Urma Thurman
  8. Salma Hyke
  9. Meg Ryan
  10. Reese Witherspoon
  11. Catherine Zeta Jones
  12. Cameron Diaz
  13. Kate Winslet
  14. Eva Mendes
  15. Yule mama mtu mzima kacheza ile "The Devil wears Prada"
Dah.....Yaani hapo kwa wanaume haujamtendea haki Matt Damon......a.k.a David Webb/Jason Bourne

Kwa wadada kuna binti Muingereza anaitwa Gugu-Mbatha Raw......Anakuja juu sana huyu
 
hahaha.... Umenifurahisha kweli with your Imagination.. I love it (hata kama sio kweli...lol) For I lurve Rita Paulsen for the simple reason kua she is "HOT" and has Brains to stand as an Independent woman....

Nilianza kuangalia movies nikiwa mdogo saana, kama 7 years (chini ya hapo ilikua cartoons); Baba yangu Mpenzi (May he R.I.P) alikua anapenda sana movies his best actor alikua Clint East wood, Chuck Norris na Bruce Willis. Hao ndio ma actor wangu wa mwanzo kabisa kuwapenda... Movie zangu za kiutu uzima nilizo angalia enzi hizo nikawa napenda ni "The Good, The Bad & The Ugly" na Mackenas Gold (Sidhani hata kama ziko madukani hizi tena...)

Toka niko 7 years, nimekua, nimeolewa, nimezaa na kua mtu mzima sijawahi acha angalia movies.... ndio maaana nimeangalia nyingi mno! lol Hizo movies zipo madukani lakini ukitaka kupata za zamani then inabidi u down load or nunua movie collection ya single actor.... Za ki nigeria nimewahi angalia lakini sio zaidi ya 5.

Dah.Sasa una sababu gani ya kutokuwa Actress???au Director,producer n.k..
Mie pia huwa napenda sana SERIEs. My favourite is Desperate HW,Kyle XY na Pretty little liars.
Desperate inaendea mwisho ila imeniboa siku hizi wamemuua Mike..nimeacha kuiangalia...
 
You know why I can not convince you? It is because hapa hatujajibishana kwa facts... tungeweza bishana kama tungebisha picha kwa picha fact by fact. I am quiet of surprised wam describe hivo Jolie na usha sema hujawahi angalia movie yake. nisiende mbali niende movie ya hapa karibuni Salt... Do me a favor... Watch that movie then urudi tubishane hapa... then I can convice you... else hapa lazima usinielewe....


Baba yake hadi leo ana act toka ujana wake... na ni one of the highly paid actor to Present... Anaitwa Jon Voight... If you watch his movies... He is one Great actor and you would love him.... Kama umeangalia "Transformers" ka act kama Secretary of Defense. Hata sema she is the best kwa sababu ya Diplomacy but deep down she knows she is the best....

It is half time. Now where were we? Right. Asha Dii sihitaji kuangalia movies zake ili niweze kum-describe Angelina. Nenda hata kwenye Google type “What makes Angelina Jolie” kabla hata hujamalizia Google inakumalia “beautiful”, “so beautiful” “so attractive” etc. Not a great actress.

Anyway, watu wengi watakubali kuwa she is gorgeous. Hilo halina mjadala. Pia tunajua makes a lot of money. Lakini swali ambalo limekuwa likiulizwa na watu wengi (sio mimi tuu), does she really deserve all the movies she gets? Au ni anazipata kwa sababu of her looks? Or because she is married to what many describe as the most handsome man on the planet?

Sisemi kuwa hana talents. Anaweza kuwa nazo. Afterall kasomea hayo mambo so ni anga zake haswa. Lakini utakubaliana na mimi kuwa kuna watu wengi in the film industry who only work on that because they are beautiful and not because they are talented. After all haya makampuni ya filamu, their major aim is to maximise profit. Definitely, watatafuta mtu ambaye ni attractive kwenye screen. Hata ingekuwa mie ningefanya hivyo. usicheze na fwedha. The one who will attract many viewers tena from both sexes the better. I don't want you to like my film but to pay for it whatever the reason.

In fact hili sasa limeanza kuwa tatizo. Filamu zinazotolewa hizi sio nzuri kama za zamani probably because makampuni yanaangalia zaidi attraction ya wacheza filamu kuliko talents. Ni sawa na kwenye fani ya muziki.

Nitasema she is average actress. She is always has her looks to fall back on. That being the case, hajawahi kuji-challenge mwenyewe with a role. May be I am being too mean on her because kwenye action movies dialogue ni kama hakuna na movie ina-rely zaidi kwenye action to get it through. Hata hivyo, she needs to ugly it up so that she will not really on her looks to sell her to the audience.

Back to footie.
 
Dah.....Yaani hapo kwa wanaume haujamtendea haki Matt Damon......a.k.a David Webb/Jason Bourne

Kwa wadada kuna binti Muingereza anaitwa Gugu-Mbatha Raw......Anakuja juu sana huyu


Nakubaliana na wewe... katika hio list nam replace kwa Brad Pitt.... For katika moja ya picha za muendelezo "Borne Identity" Ipo katika my top 5.
 
THANKS Bala.... Na nilisahau kabisa hio The Tourist (how could I forget?!) Pia naipenda.

BTW... Please... Swali la kizushi eti Julia Roberts na Angelina Jolie nani zaidi? (not in looks but in uigizaji...lol)
Kwangu mimi naona kama Angelina ni zaidi maana anafit kote, kwenye action anafit, kwenye comedy/drama/Romantic anafit, thriller ndo usiseme.... Kimsingi anaweza akacheza kila aina ya movie na mara zote anafanya vizuri.....

Julia yeye anafit zaidi kwenye movie za Romantic/drama/comedy.........Pamoja na kwamba ameshiriki kwenye series za movie za Ocean's(11 na 13) bado hawezi kumfikia Angelina katikaa kuzitendea haki action movies....Nimependa sana alivyocheza Pretty Woman, Eat Pray Love na Larry Crowne
 
Dah.Sasa una sababu gani ya kutokuwa Actress???au Director,producer n.k..
Mie pia huwa napenda sana SERIEs. My favourite is Desperate HW,Kyle XY na Pretty little liars.
Desperate inaendea mwisho ila imeniboa siku hizi wamemuua Mike..nimeacha kuiangalia...


hahaha.... Labda Director or Producer ama Script Writer... Napenda kua observer sio niwe observed hivo siwezi kua actress... na umri wenyewe umeenda kua actress..... lol

Katika series hizo Pretty little liars sijabahatika kuangalia... my best couple ya DHW ni Suzie na Mike... hivo you can imagine we are in the same shoes...
 
It is half time. Now where were we? Right. Asha Dii sihitaji kuangalia movies zake ili niweze kum-describe Angelina. Nenda hata kwenye Google type “What makes Angelina Jolie” kabla hata hujamalizia Google inakumalia “beautiful”, “so beautiful” “so attractive” etc. Not a great actress.

Anyway, watu wengi watakubali kuwa she is gorgeous. Hilo halina mjadala. Pia tunajua makes a lot of money. Lakini swali ambalo limekuwa likiulizwa na watu wengi (sio mimi tuu), does she really deserve all the movies she gets? Au ni anazipata kwa sababu of her looks? Or because she is married to what many describe as the most handsome man on the planet?

Sisemi kuwa hana talents. Anaweza kuwa nazo. Afterall kasomea hayo mambo so ni anga zake haswa. Lakini utakubaliana na mimi kuwa kuna watu wengi in the film industry who only work on that because they are beautiful and not because they are talented. After all haya makampuni ya filamu, their major aim is to maximise profit. Definitely, watatafuta mtu ambaye ni attractive kwenye screen. Hata ingekuwa mie ningefanya hivyo. usicheze na fwedha. The one who will attract many viewers tena from both sexes the better. I don't want you to like my film but to pay for it whatever the reason.

In fact hili sasa limeanza kuwa tatizo. Filamu zinazotolewa hizi sio nzuri kama za zamani probably because makampuni yanaangalia zaidi attraction ya wacheza filamu kuliko talents. Ni sawa na kwenye fani ya muziki.

Nitasema she is average actress. She is always has her looks to fall back on. That being the case, hajawahi kuji-challenge mwenyewe with a role. May be I am being too mean on her because kwenye action movies dialogue ni kama hakuna na movie ina-rely zaidi kwenye action to get it through. Hata hivyo, she needs to ugly it up so that she will not really on her looks to sell her to the audience.

Back to footie.


EMT ndio maana nikasema kua tutabisha sana lakini sitakubaliana na wewe. My judgement on anything kinacho husiana na entertainment napenda I speak my own mind na wala si google opinions za wengine because I have my own opinion to voice. Unless I have no Idea....

Unapo google upande wa Angeline na kukuta hizo comments... lazima ziwe za she is beautiful for that is the first thing that defines her as a person. Hii thread yenyewe uliona mwenyewe the way kila mtu was speaking of her lips and beauty instead of mentioning the movie... but it does not mean she is an average actress... In Holly wood she is an "A List" actress na wala sio average.... hivo I do not agree bado...

BTW Mmefunga ngapi na ni nani against nani?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kwangu mimi naona kama Angelina ni zaidi maana anafit kote, kwenye action anafit, kwenye comedy/drama/Romantic anafit, thriller ndo usiseme.... Kimsingi anaweza akacheza kila aina ya movie na mara zote anafanya vizuri.....

Julia yeye anafit zaidi kwenye movie za Romantic/drama/comedy.........Pamoja na kwamba ameshiriki kwenye series za movie za Ocean's(11 na 13) bado hawezi kumfikia Angelina katikaa kuzitendea haki action movies....Nimependa sana alivyocheza Pretty Woman, Eat Pray Love na Larry Crowne

EXACTLY!! I feel like you have said my own words.... Tena basi huyo Julia kwenye hizo Ocean's 11 & 12 hakuna la ziada kafanya zaidi ya usindikizaji na kuportray how beautiful she is and all the men crazy for her! Afadhali hata Zeta Jones did her job a bit...

Huyu Gugu Mbatha-Raw umeshamuona lakini?..

No wonder sikugusia na kutambua kua ni jina... Sijawahi liona hilo jina! lol... Simjui kabisaa.
 
EXACTLY!! I feel like you have said my own words.... Tena basi huyo Julia kwenye hizo Ocean's 11 & 12 hakuna la ziada kafanya zaidi ya usindikizaji na kuportray how beautiful she is and all the men crazy for her! Afadhali hata Zeta Jones did her job a bit...



No wonder sikugusia na kutambua kua ni jina... Sijawahi liona hilo jina! lol... Simjui kabisaa.
Huy binti anakuja juu sana....Ni Muingereza alinzia kwenye TV Series mojawapo ya series alizocheza ni Undercovers ambayo yeye na Boris Kodjoe wamecheza kama lead actors(CIA Agents,mtu na mkewe)...Pia anashiriki TV Series mpya ya Touch ambayo yeye na Kiefer Sutherland(Jack Bauer) ni lead actors.....Kwenye movies kaanza kutoka kwenye Larry Crowne ambapo yupo yeye,Julia Roberts na Tom Hanks..

boris-kodjoe-gugu-mbatha-raw-undercovers-03.jpg


gugu-mbatha-raw.jpg
 
Huy binti anakuja juu sana....Ni Muingereza alinzia kwenye TV Series mojawapo ya series alizocheza ni Undercovers ambayo yeye na Boris Kodjoe wamecheza kama lead actors(CIA Agents,mtu na mkewe)...Pia anashiriki TV Series mpya ya Touch ambayo yeye na Kiefer Sutherland(Jack Bauer) ni lead actors.....Kwenye movies kaanza kutoka kwenye Larry Crowne ambapo yupo yeye,Julia Roberts na Tom Hanks..
I like Boris Kodjoe... he is not so good as an actor but he is glamour. I love his wife too (Monique kama sikosei). Huyo dada ndio namuona leo, I will be following her.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom