Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,580
- 5,366
Kabla hatujaandamana naomba mwambie Invii arudishe ile version ya threads ya zamani this is boring bana! lol
Hapo nipo ready kukusindikiza.
Message sent wakuu, tusubiri jibu lake mwenyewe.Kumbe tuko wengi? Inaniboa kweli hii... Jioni wen I logged in kuna thread nilifungua page ya mwisho nikakuta post yako inaongelea ile watu ku hold wanapoongea kwenye simu... And I said to myself leo EMT katuma such a brief post? nikaku qoute na ku comment briefly thinking it was the topic itself! lol