The benefits of being a mistress

The benefits of being a mistress

Wanafiwa lakini wengine hangalau hupata watoto wakawasaidia kwenye maisha ya uzeeni. Sasa utakuwa mistress wa nani uzeeni?

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app

Watoto wanapatikana hata kwa one night stand, tena hao ni wamama 100% hakuna paternal side.
 
Kuna wanawake wanaoamua kutokuolewa na wanapendelea kuwa na mabwana, hawa mabwana either wanakuwa waume za watu, waliofiwa na wake zao au wanaume waliochelewa kuoa.

Faida za kuwa mistress:
- Hufui nguo za mwanaume, akitoka kazini anapitia kwako, nguo anaenda kufua mke wake, house boy au anafua mwenyewe weekend.
- Hupiki chakula, mara nyingi anakutoa kwenda kula sehemu sehemu.
- Ananunua zawadi maaana anapenda kukupa furaha muda mwingi.
- Huna kelele za mawifi kukuchukia, mama mkwe hakupendi, hujui hata ndugu zake.
Nami ngoja nikupe faida za kuwa mbuzi dume yaani beberu
-Unakuwa na wake wengi bila kuingia gharama yoyote.
-_unazaa watoto wengi bila kuangaika kuwatunza wala kuwasomesha.
-Kila jike linalopita mbele yako linakuwa mke wako bila kuomba ridhaa yake
Na nyingine nyingi.
Mytake:Binadamu anayetamani maisha haya hana tofauti na mbuzi beberu.
 
Nami ngoja nikupe faida za kuwa mbuzi dume yaani beberu
-Unakuwa na wake wengi bila kuingia gharama yoyote.
-_unazaa watoto wengi bila kuangaika kuwatunza wala kuwasomesha.
-Kila jike linalopita mbele yako linakuwa mke wako bila kuomba ridhaa yake
Na nyingine nyingi.
Mytake:Binadamu anayetamani maisha haya hana tofauti na mbuzi beberu.

Well that's is your opinion, we respect it.
 
Kwa umri wako, lazima utetee hoja ya namna hii. Some things come with age. A single woman in her late 40s would always concur with you.

Eli79 ukipigana vita ya maisha kwa miaka 30 pekeyako alafu wakati unaona victory is on your way ndiyo linakuja jeshi kukupa support si wanataka waclaim victory is it fair?
 
Ni kifungo uwe kwenye ndoa na mwanaume anachepuka? Awe part time na akianza kujifanya kidume unakatisha mkataba.
Mwisho wa siku utajikuta ukipanda daladala kila abiria unayemwangalia ni X-hawara.
 
Kuna wanawake wanaoamua kutokuolewa na wanapendelea kuwa na mabwana, hawa mabwana either wanakuwa waume za watu, waliofiwa na wake zao au wanaume waliochelewa kuoa.

Faida za kuwa mistress:
- Hufui nguo za mwanaume, akitoka kazini anapitia kwako, nguo anaenda kufua mke wake, house boy au anafua mwenyewe weekend.
- Hupiki chakula, mara nyingi anakutoa kwenda kula sehemu sehemu.
- Ananunua zawadi maaana anapenda kukupa furaha muda mwingi.
- Huna kelele za mawifi kukuchukia, mama mkwe hakupendi, hujui hata ndugu zake.
Ushauri wako!!!!
 
Inaonekana umeandika kwa uzoefu wako ila maisha si rahisi kiasi hicho yaani umejisusa na kuwa chawote hakuna raha hapa duniani kama kujua una mmiliki fulani kisheria.Sasa weye watu wana kufanya asusa unaona ni faida?nguo ya kuazima haistili makalio.
 
Kwa age uliyopo bado hujajua ugumu wa Kuwa single, Ngoja ufike late 40s Ndo utaisoma namba vizuri!! Nyambafu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom