The benefits of being a mistress

The benefits of being a mistress

Ni rahisi kupata maambukizi kwa sababu hakuna kutumia KINGA
 
mpumbavu kweli wewe, wenzia wanalilia ndoa we umeweka upumbavu tupu akilini mwako
 
Kama umeamua kufuata mfumo huu wa maisha kwanza uwe njema kiuchumi, hata kama hupo njema use strong enough to fight for your needs. Sex kwako siyo priority, ukizama kwenye shughuli zako unaweza kusafiri au unahitaji muda wa kukoncetrate. Hutaki mwanaume akugande.
Hakuna cha mfumo wala nini umalaya tu,sasa utalalwa na wangapi?kwasababu huna lakumfanya asahau familia yake,anakupitia tu,eti hutafua hutapika unaakili wewe?hilo tu lakufua na kupika ndo utoe sadaka uchi wako?mbona wavivu wanawake wa hiki kizazi?umesema mambo ya kawaida sana toa hasara ya kua mistress ndo tuone uhalali wa huo mfumo wako wakizembe,
Eti upo busy unaandika faida za kua mistress aisee,second hand inaanzia rohoni mpaka mwilini tena ni tabia za mabinti malaya sana.
 
Maisha mazuri na yafuraha ni yale unayojichagulia wewe mwenyewe.
 
Hakuna cha mfumo wala nini umalaya tu,sasa utalalwa na wangapi?kwasababu huna lakumfanya asahau familia yake,anakupitia tu,eti hutafua hutapika unaakili wewe?hilo tu lakufua na kupika ndo utoe sadaka uchi wako?mbona wavivu wanawake wa hiki kizazi?umesema mambo ya kawaida sana toa hasara ya kua mistress ndo tuone uhalali wa huo mfumo wako wakizembe,
Eti upo busy unaandika faida za kua mistress aisee,second hand inaanzia rohoni mpaka mwilini tena ni tabia za mabinti malaya sana.
Asante kwa maoni yako lakini kila mtu ana formula yake ya maisha.
 
Una maana gani lakini? wewe ni mlengwa wa hii mambo au?

Kwa taarifa yako, hakuna wanaopata hasara kama watu wa dizain yenu maana huna uhuru na unaesema sijui Bwana.

Tafuta chako uwe huru na maisha yako.
Jje's mbona umekuwa mkali sana? Ni aje lkn??
 
Na wengi ni wale wa mama wa Gender issues,
Wengi walikosa wa kuwaowa na wana chuki sana kwa wanaume
...Hapanshaka hawawapendi wanawake walio kwenye ndoa
Huwa chanzo kikuu cha kuvunja ndoa za watu.
Kimsingi
ni ma agent wa ibilisi.
 
Na wengi ni wale wa mama wa Gender issues,
Wengi walikosa wa kuwaowa na wana chuki sana kwa wanaume
...Hapanshaka hawawapendi wanawake walio kwenye ndoa
Huwa chanzo kikuu cha kuvunja ndoa za watu.
Kimsingi
ni ma agent wa ibilisi.

Utakuja kushangaa mimi ndiye nitakuwa mwimba mapambio Mbinguni.
 
Jamii forum wanawake wote ni washika dini, wameolewa, wana maadili na wanaume wote wanapenda wake zao. Hapa wananirushia madongo lakini wengine wanalipa pango la nyumba nyumba ndogo. Wanawake wengine hapa hapa wanategemea mume wa mtu apandishe msingi wa nyumba. Full unafiki.
 
mpumbavu kweli wewe, wenzia wanalilia ndoa we umeweka upumbavu tupu akilini mwako
Hapana Mkuu usimtukane bhanaa,yeye ndivyo apendavyo na kwake yeye ni sawa na hakwambii wewe lazima ufuate anavyotaka wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom