KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Na mimi nakufahamu mamii.Haha unahisi unanifahamu ehh.
Na mimi nakufahamu mamii.Haha unahisi unanifahamu ehh.
Wacha weeeee,kazi ipo ila nakusihi ukiona mtu analeta kashfa na matusi wewe mjibu kiungwana kama navyokuona kila mara una hekima na unajiheshimu sana nakupa salute Sky.Una uhakika gani kama mimi ndiye ninawatumia kama kopo la chooni?
Una uhakika gani kama mimi ndiye ninawatumia kama kopo la chooni?
Mpwa mimi na wewe hatugombi. Wala usiwe na wasiwasi. Hapa ni kutoa stress full kujiachia.Mpwa si umenena kuwa kinachowakutanisha wewe ni huyo mchepuko wako ni tendo tu sasa kuna tofauti gani na kopo la chooni ambalo linatumika kipindi mtu ajisikiapo haja....!!??
NB; samahani kama nimetumia lugha iliyokukwaza.....
Mpwa mimi na wewe hatugombi. Wala usiwe na wasiwasi. Hapa ni kutoa stress full kujiachia.
AhsanteHata kiti moto, mbuzi Katoliki ni haramu kwa wengine.
ukiona mwanamke wa aina hiyo ni tegemezi, hana elimu wala hana kipato cha maaana katika maisha yake maana hapo anaongozwa na tamaa..ikumbukwe itafika mahali utahitaji kuwa na familia...unaweza fanya ukiwa kijana lakini Finally uzeeni... halafu ni mkatili, mhuni na hajapata malezi mema ya familia..ukiona hivyo anatokea kwenye familia yenye background ya hivyo ni kama ana laana..lakini jiulize itakuwa uwanja wa kuchezewa na wanaume hadi lini?
kama huna elimu rudi shule hujachelewa..maana hivi wala sio vitu vya kuwa proud of....tamaa mbele mauti nyuma...utaishi maisha hayo hadi lini?.. na unapoishi live a life to inspire others hasa young generation..so be positive n stay positive..Asante kwa mawazo. Sina elimu lakini ujinga nimetoa.
Miss u jje'sNko poa kbsa namshukuru Mungu.
Likewise i doMiss u jje's
Come to the bedroom (pm) so that we talk all our ....Likewise i do
Ili iweje na wewe nawe?.Kamatia chini[emoji443]
Ah na wewe unajirahisi saaaaana bhaana,.Mpwa mimi na wewe hatugombi. Wala usiwe na wasiwasi. Hapa ni kutoa stress full kujiachia.
tena sio kidogo...mtoto wa kike kajizila hadi anajitoa sandakalawe...Ah na wewe unajirahisi saaaaana bhaana,.