Hivi hiyo makala uliyoiandika inatoka na hiyo sentensi moja tu niliyokomenti ?...Nahisi umekosea ku-quoteNyosso Alikuwa Anawaweka Sawa Vijana Tena Hasa Kupitia Kwa Nahodha Msaidizi Huyo Wa Taifa Stars Kuwa Lazima AGANGAMALE Ili Mechi Zijazo Za Timu Ya Taifa Asiwe Anacheza NYORONYORO. Nyosso Alikuwa Anasambaza UJUMBE Tu Wa KIUMENI Kwa Vitoto Vya Siku Hizo Vibishoo Vinavyocheza Soka Kwa Maringo. Tuliocheza Mpira Wala Hatulalamiki. Watu Mlivyo WANAFIKI Humu Leo Nyosso MNAMLAUMU Hivi Mbona HAMLALAMIKI Tambwe ALIVYOMCHOMA VIDOLE VYA MACHONI YULE MCHEZAJI Wa JKT Ruvu Hadi AKATOKWA Na Damu? Kama Hiyo Mmesahau Mbona HAMPIGI KELELE Kitendo Cha Juzi Ktk Kariakoo Derby Ambapo Mshambuliaji Wa Yanga Ambae Ni BWABWA Donald Ngoma Alimpiga KICHWA Tena Kwa MAKUSUDI Beki Namba Mbili Bora Kwa Sasa Nchini Tanzania Ramazan Hassan Kessy Hadi Nusura AMTOE JICHO? Mmeiona Hii Tu Ya Nyosso? Wanafiki Wakubwa Nyie MLIOTUKUKA.
Mara ya tatu hiyo. Alianza na Amir Maftah,Maguli then Bocco
Inaonesha kazoweya, maana hao ndiyo wanajulikana kudhadhalishwa na huyu mjinga, wasiyojulikana ni wangapi? Ni mshenzi sana huyu mtu afungiwe maisha tu. Ni hatari sana kwa jamii, tena afungwe jela kabisa.
Tazama sura yake mbaya kama tabia yake:
Dada Huoni Sura Ya " Hapa Kazi Tu " Hiyo?
Binafsi sipendi na sijapendezwa na tabia hizi za Said Juma 'Nyosso'...
Ila kiukweli TFF wamekurupuka kumfungia Nyosso kwa kutegemea ushahidi wa picha iliyotumwa mtandaoni...
Malinzi naye alikurupuka kutweet kumchukulia Nyosso hatua kali kwa kutegemea ushahidi wa picha(ambayo ka teknolojia ya sasa inaweza kuwa photoshop)...Heri ungekuwa ushahidi wa Video..
Bahati mbaya hata Camera za Video hazikuonesha tukio hilo..
Pia mchezaji hakupewa hata haki ya kujieleza...
Vipi Ngoma aliyempiga kichwa Kessy?
Hawajachukuwa hatua kwa ushahidi wa picha za mtandaoni.
Azam wamepeleka malalamiko yao TFF na hii jinsi nilivyosoma habari zake huyu mjinga si mara ya kwanza kufanya huo upumbavu.
Binafsi sipendi na sijapendezwa na tabia hizi za Said Juma 'Nyosso'...
Ila kiukweli TFF wamekurupuka kumfungia Nyosso kwa kutegemea ushahidi wa picha iliyotumwa mtandaoni...
Malinzi naye alikurupuka kutweet kumchukulia Nyosso hatua kali kwa kutegemea ushahidi wa picha(ambayo ka teknolojia ya sasa inaweza kuwa photoshop)...Heri ungekuwa ushahidi wa Video..
Bahati mbaya hata Camera za Video hazikuonesha tukio hilo..
Pia mchezaji hakupewa hata haki ya kujieleza...
Km kweli kafungiwa miaka miwili ni kuwadharau watz. Mtu kuwekewa kidole tena wkt kavaa nguo na mhusika hajapata madhara yoyote alafu anafungiwa miaka 2?
Yaani watz wamefikia hatua wanamchukia mtu km huyo badala ya kuwachukia mafisadi wanaojulikana ila wapo mitaani wanakula mema ya nchi.
Alaaaaaa.......hii nchi inamambo mazito ya kuchukia sio hayo ya akina nyoso.
Kidole kitu gani bana, mbona ccm wanatupiga madole watz kila siku
Amevuna alichopanda
ulimtuma? "akiwa uwanjani hubadilika(kwa kubana pua)"..unajua ni mara ya ngapi hiyotatizo la watz huwa tunabase kwenye kukomoana ila ukweli ni kwamba wajue mchezaji akiwa uwanjani hubadilika je unafikiri maisha yake atayaendesha vipi si atakua panya road sasa
NAJUTA KUZALIWA TZ