Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Wana jf kauli hii ya msajili anadhani tunavyokaa kimya na wakifanya mambo yao ya kijinga tumenyamaza anadhani akifuta chama hili patakalika hapa nchini? kama alivyozoea kutumwa na magamba sasa hivi hatukubali. Yeye haoni hapo nani mkosefu? jaribu tuone uone sura za watanzania zilivyo.
 
Na kwa kweli ajaribu kama ajaona nchi ya ughaibuni ni karibu!

mafisadi wakubwa!
 
Anazidi kuhalalisha kile nilichosema ktk ule uzi wangu wa sababu 3 zilizoko nyuma ya vifo ktk mikutano ya Chadema. Vifo hivyo, vinataka kuhalalisha jambo. Kama si kuchafua chadema, basi ni kuifuta chadema. Exactly, kama alivyosema rafiki yangu. Nijuavyo na niaminivyo, hilo halitawezekana.
Pili, kwa kuwa mjadala wote sasa umeelemea polisi kwa kubebeshwa lawama zote, Tendwa anataka kubadili mjadala uwe Chadema na vifo. Watz wa leo siyo wa miaka 50. Hawatafanikiwa.

Nakubaliana nawe kwenye hili. Jana nchimbi alijaribu kuondoa mjadala wa mauaji ya Mwangosi kwa kuchomekea propaganda ya sms toka kwa Dr. Slaa, muitikio umekuwa hasi hadi sasa.

Tendwa naye anafanya hilohilo, kuelekeza mjadala kwenye kuihusisha CDM na mauaji na vurugu. Wananchi tunaona, si rahisi kubadili hali ya mambo kwa sasa. Tendwa hana heshima tena hapa nchini, kauli zake za Igunga na Arumeru zilimuondolea uhalali wa kuwa msajili wa vyama vya siasa. Ni vyema akasoma muitikio wa wananchi katika kufanya mabadiliko, tulipofikia sasa hakuna wa kurudisha nyuma vuguvugu hili. Anapotaka vyama vifanye mikutano wakati wa uchaguzi tu, anasahau kuwa katiba na sheria hazijazuia shughuli za vyama. Anapaswa kuachia ngazi kwa upuuzi wake huu.
 
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source:Habari Radio Tumaini.

Aanze kuifuta SSM!!! Nilijuwa tu upayukaji huu na kwa kuwa wanaitafutia CDM sababu ya kuifuta maana wanaiogopa kama koboko. Ila tu wajue hata kama watakifuta CDM but walewale wanachama na wengine watafungua kingine na nguvu kupita maelezo!!! No more pain!!
 
HILI NI TATIZO LA KATIBA, CCM Msajili wa vyama wao, Tume ya uchaguzi wao, mahakama yao, Speaker wa bunge wao, Jeshi la Polisi wao. Referees wao, Laizimen wao, wachezaji wao, washangiliaji wao, watangazaji wao na Uwanja wao. SISI NI TIMU PINZANI TUU. panakazi kubwa kweli hapo
 
MODS unganisheni huu uzi na ule wa Tendwa atishia kuifuta CHADEMA!
 
Na hili ni Onyo la mwisho kwa hiki kizee kuongea kwa kutumia masaburi. Akirudia tena ***** wake ndipo atakapojua kwamba si Watanzania wote ni Misukule kama anavyodhani yeye kwa ubongo wake wenye matege,
 
Ajaribu tusipomfanya mapengo mdomo mzima kwenye ile mianya
 
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source:Habari Radio Tumaini.


Ukistaajabuu ya Firauni utayaona ya Musa.

Tendwa ni dhahiri anaonesha udhaifu wake. Akithubutu kuifuta CHADEMA ajue nchi haitakalika. Hilo analoliota yeye la kuitaka CHADEMA isubiri wakati wa uchaguzi ndio ifanye mikutano yake ni UPUMBAVU uliopitiliza! Kwani shughuli za kisiasa zinafanyika wakati wa uchaguzi pekee? Kasi ya M4C inatisha, eeeh?

People's POWER!

Na bado!

Halafu ni UJINGA, sorry, I mean UPUMBAVU kusema CHADEMA inasababisha mauaji. Kwani wanaoua raia ni askari au viongozi wa CHADEMA? Ni haki ya MSINGI kabisa kuandamana, kufanya mikutano ya hadhara na kufanya shughuli za kisiasa! Asiipindishe Katiba! Watatuaa sana mwaka huu, hata mwaka ujao, na hata mwaka 2015! Lakini Wananchi wameamua! WAMECHOKA NA UFISADIIIII!
 
Hiki kizee kinafiki sijawahi ona.Kuua waue polisi CDM wafutiwe usajili!!!! Naona sasa kinatumika vibaya. Uchaguzi wa Arumeru kilikomalia suala la washiri ila CDM walikipuuza.
 
tendwa tendwa tendwa tendwa jaribu uone we jaribu uone unachotakakufanya we jaribu we unadhani tupo hapa kwa upumbavu wako we jaribu. tutakuchapa viboko kuanzia wewe na mke wako sijui utalia kwa lugha gani
 
Nakumbuka maneno ya marehemu Nyerere aliwahi kusema "ULEVI WA MADARAKA" ndio huu, yaani ameshajiona anaweza akafikiria lolote likawa atakavyo yeye.
Huwa najiuliza inakuwaje raia mwema katika nchi anabadilika na kuwa gaidi!! ukandamizaji demokrasia kama huu ndio unapelekea mtu kuwa gaidi.
 
Ule vi Mbaya sana huu

Kunywa Gongo
Kuvuta Bangi ( Tena Kuvutia Bangi Chooni)
Kuvuta Bangi iliyochanganywa na Majani ya Chai na Mapapai
Ugoro
Chibuku na Tambaku

Ni Ulevi Mbaya sana
 
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source:Habari Radio Tumaini.

Tatizo hapa ni CDM ambayo inanuka damu ya kunguni wala si vyama vingine. Hayo mauaji bila shaka CDM ndo wanaoua watu kwa ufahamu wa wahafidhina wa chama tawala. Najisikia vibaya kwa nchi yetu kufikia hali hii.!!
 
Back
Top Bottom