Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,488
- 176,550
Tuendelee kunywa bia.Haina maana kabisa naunga mkono hoja
Tuendelee kunywa bia.Haina maana kabisa naunga mkono hoja
Utamu upo kichwani mwako pale ni kutekeza tu.Ule mchezo mtamu bhna
Yaani sanaaaaaUle mchezo mtamu bhna
SiumwiSawa unajitibuje?
UasheratiEeeh siangalii pcha za ngono, situmii uzazi wa mpango nk..... lakini kuna muda mwili unahitaji jambo na si kwaajili ya mtoto,,hii inaitwaje kitaalamu....
🤣🤣🤣🤣 kwani Half american anasemaje?Naunga mkono hoja tendo hilo mimi nikitaka kuongeza mtoto ndio nitalifanya tena
Kabisa ngono bila dhumuni la kuzaliana ni kupoteza mda , sisi tunywe bia tu, leo wap?Tuendelee kunywa bia.
eeeh kumbeUasherati
Leo kwa mama shirima nimehama, siku hizi anongeza maji kwenye mbege.Kabisa ngono bila dhumuni la kuzaliana ni kupoteza mda , sisi tunywe bia tu, leo wap?
Shindikana unaumwa chekelea🤣🤣Siumwi
Za kuambiwa......Mtajua wenyewe😂😂😂
tendo la ndoa lina majukumu 2ambayo ni:Imenilazimu kutoa elimu kwa wanadamu wenzangu ili warudi kwenye mstari sababu naona shimoni tunaelekea.
Nimejaribu kufuatilia MAISHA ya wazee wetu na hata baadhi ya maandiko.
1: ukifuatilia maisha ya adamu katika maandiko ni kuwa kila "alimpojua" mke wake, mtoto alizaliwa.
2: wazee wa kale hawakulala chumba kimoja au kitanda kimoja. Walikuwa wakikutana kwa ajili ya kutafuta mtoto tu na sio vinginevyo.
Sababu ya mabadiliko;
1: idadi ndogo watoto katika familia.
- Picha za ngono zimebadili akili za wanadamu kuona tendo hilo ni kwa ajili ya starehe.
- Uzazi wa mpango kwa njia za kigeni.
- Sinema na movies za kigeni.
- Utandawazi kwa ujumla wake hasa katika mwingiliano wa mila na desturi.
- Madhara yake;
2: upungufu wa nguvu za kiume na kike.
3: magonjwa ya ngono kwa ujumla wake.
4: ndoa kivunjika mapema sababu ya uzoefu wa ngono kwa wanandoa.
Mengine ongeza wewe JF member including
Madenge Kilewa pangalashaba
Mbili weka Moja kwenye mpangiliotendo la ndoa lina majukumu 2ambayo ni:
1.ni starehe baina ya wana ndoa
2. kuzaa
kuhusu kutolala chumba kimoja haina maana kuwa wana ndoa hawaburudishani,tuache uzushi
Kizazi cha binaadamu kilianzia wapi?Hilo linahusiana vipi na hoja za hapa?
Thibitisha huyo Adam alikuwapo kweli.