TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 12,046
- 12,542
Inaitwa NyegeEeeh siangalii pcha za ngono, situmii uzazi wa mpango nk..... lakini kuna muda mwili unahitaji jambo na si kwaajili ya mtoto,,hii inaitwaje kitaalamu....
Inaitwa NyegeEeeh siangalii pcha za ngono, situmii uzazi wa mpango nk..... lakini kuna muda mwili unahitaji jambo na si kwaajili ya mtoto,,hii inaitwaje kitaalamu....
manake nakua nahitaji mtoto au starehe?Inaitwa Nyege
Mwanaume ndio anabeba mimba?Na mwanamme anapata hamu siku gani?
Hapana, jee yeye anapata hamu wakati gani? Mana ndio mtiaji mimbaMwanaume ndio anabeba mimba?
Ngoja nijibu kitu kwenye hili...Hapana, jee yeye anapata hamu wakati gani? Mana ndio mtiaji mimba
lakini nishawahi kua bikira,, kabla hata haijatolewa mwili ulihitaji ndoman ikatolew na hii je
Mungu anisameheKiukweli hukufahamu na Bado hufahamu ulifanyalo..... B'se lile unalolipenda hulitendi, bali lile unanalolichukia ndilo unalotamani na kulitenda 👉 hi ni nature ya binadamu wote waliozaliwa kwa kukutana baba na Mama kwanini? Kwasababu sote tuliuzwa kama watumwa kwa dhambi i.e tuliuzwa kuitumikia dhambi ndiyo maana mara zote tunatamani na kutenda mabaya lakini Hakika hatupendi Ndio maana tukimaliza kutenda mabaya tunajisikia hatia ndani yetu👉 nilichotenda sio sahihi
Hakika hakuna mtu anaependa au kutamani kutenda mabaya lakini kwasababu tuliuzwa kuwa watumwa wa dhambi hivyo tunakuwa tunalazimika kuitumikia dhambi tu bila kupenda
Umesema sentensi nzuri Sana 👉 "mwili ulihitaji ndiyo maana ikatolewa" kwanini mwili ulihitaji na ukashindwa kuuzuia hilo hitaji la mwili B'se wewe ni mtu wa mwilini i.e uliuzwa kuitumikia dhambi kwa gharama ya mauti ndiyo maana unashindwa kulishinda hilo hitaji la mwili ......haya ni mambo ya kisheria
Mtu wa rohoni pekee yake ndiye mwenye uwezo wa kushinda hilo hitaji la mwili na mahitaji mengineyo ya mwili ambayo Hakika hatuyapendi ila tunalazimika tu kuyatenda
Kilichotumika kutuuza kuitumikia dhambi ni mauti ndiyo maana mwana wa Mungu alikufa Ili kulipa hiyo mauti na kutununua Ili tuludi katika asili yetu 👉"rohoni" na kuyashinda mahitaji yote ya mwili ambayo kiukweli hatupendi kuyatenda ila tunalazimika kuyatenda
Ufahamu uliotangulia ndani yako ndo unafanya utake icho kitu maana ushaamini ni haki yako wakati wowote.Eeeh siangalii pcha za ngono, situmii uzazi wa mpango nk..... lakini kuna muda mwili unahitaji jambo na si kwaajili ya mtoto,,hii inaitwaje kitaalamu....
MnhhhhHapana, jee yeye anapata hamu wakati gani? Mana ndio mtiaji mimba
NashukuruNa bado🤣🤣🤣
Weeeee sitaki kuaminiUfahamu uliotangulia ndani yako ndo unafanya utake icho kitu maana ushaamini ni haki yako wakati wowote.
Wanajaa kirikuu au guta tuMie tyr touched 😝
Ngoja umri uende huna watoto ndio majuto huanza. Muulize "Mengi" ukikutana nae sababu ya kuoa uzeeni.Asikuchanganye uyo ilo tendo uwa ni "starehe" watoto ni majaliwa tu.
Boda tu 😅Wanajaa kirikuu au guta tu