Tendo la ndoa sio kwa starehe

Tendo la ndoa sio kwa starehe

Kwa hakika ngono ni miongoni mwa starehe miongoni mwa fadhila za allah. Isipokuwa stareheka kwa mkeo na katika njia ya harali
 
Huwa sipendi jinsia ke na me zinazowaza nyege kila wakati

Na balaa iliyoje nipo kwenye jamii ambayo nyege ndio uraibu wao

Napenda nyege zihusike kama burudani na sio kuhusika kwenye kujenga familia

Hii inachosha sana Yaani ni kama unaishi na nyani wa porini waliotupia viwalo.!?
 
Huwa sipendi jinsia ke na me zinazowaza nyege kila wakati

Na balaa iliyoje nipo kwenye jamii ambayo nyege ndio uraibu wao

Napenda nyege zihusike kama burudani na sio kuhusika kwenye kujenga familia

Hii inachosha sana Yaani ni kama unaishi na nyani wa porini waliotupia viwalo.!?
Tungo tata mheshimiwa
 
Kizazi cha binaadamu kilianzia wapi?
Hakuna kizazi cha binadamu.

Thibitisha huyo Adamu alikuwapo.

Ili kuwe na kizazi cha bin-adamu, inabidi huyo Adamu awepo kwanza.

Hujathibitisha huyo Adamu alikuwapo.
 
Hakuna kizazi cha binadamu.

Thibitisha huyo Adamu alikuwapo.

Ili kuwe na kizazi cha bin-adamu, inabidi huyo Adamu awepo kwanza.

Hujathibitisha huyo Adamu alikuwapo.
Paragraph yako ya tatu umejipa majibu. Uliza lingine
 
Paragraph yako ya tatu umejipa majibu. Uliza lingine
Hujathibitisha huyo Adamu alikuwapo.

Unahakikishaje kuwa hizi habari kuwa sisi tumetokana na Adamu si hadithi za kutungwa na watu tu?
 
Back
Top Bottom