Teh teh mitano tena na kazi iendelee, na "akitaka asitake tutamlazimisha-'--Zuzu' "Chonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Teh teh mitano tena na kazi iendelee, na "akitaka asitake tutamlazimisha-'--Zuzu' "Chonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Hapa nazungumza habari za leo bwashee!Nakumbuka mwanzoni mwa juma lililopita nililalamika humu kuhusu mambo hayo na ulipinga jamaa yangu sasa kiko wapi
Mteja wa Tanesco na Dawasa bwashee!🤣🤣🤣kwani yeye nani asikatiwe?
Ni kweli, na hili jua linaitandika Tanzania tuTwene kazi.... Shida ni jua lipo karibu na Dunia......
Nchi gani tena... Mbona sisi Umeme haujawahi kuzima na maji tuna visima vyetu.. Dar hapa hapa... Poleni... Kazi iendeleeHakuna umeme nchi nzima.
Nyinyi watu mnasahau sana, ile bodi ya TANESCO haikuteuliwa kifala.Ila hili tatizo la umeme wajuba kukaa kimya wanatuona sisi mazuzu ujue tutabaki kulalamika tu
Burudani sana.... Lakini ndio maisha tuliyochagua.....Ni kweli, na hili jua linaitandika Tanzania tu
Chonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Kada🤣🤣🤣kwani yeye nani asikatiwe?
🤣🤣🤣Kada
Mkuu sikuwaza kuchukua namba yao, maana niliwadaka hapo njia panda ya mzee wa upako walikuwa wanapeleka maji kule mitaa ya Kanisa la Lusekelo.......kesho nitampa mtu task hiyo,tutapata tu nambaMimi mwenyewe nipo ubungo nasaka boza.. naomba namba zao?
Mama atake asitake atawale milele anafanya kazi poa sanaHapa nazungumza habari za leo bwashee!