kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Watu wa Dar tutateseka sana na joto hadi mgao wa Tanesco uishe April 2024
Hadi Aprili tujiandae kushuhudia vifo na matatizo mengi yasababishwayo na joto kali
Yaani hata kama AC nyumbani haisaidii kama kuna mgao wa umeme!! Maana muda wamekata na wewe unakuwa sawa tu na mtu asiye na AC
Kinachotuokoa wengine ni AC za kwenye magari tu lasivyo tungekua na hali mbaya sana
Ingekua nchi za wanaojitambua hili la umeme lingeingiza watu barabarani na kuleta regime change kwenye nchi lakini kiko wapi!!
Mpaka April ifike ya hiyo deadline yao ya kumalizia kuuza majenereta yalobaki stoo karibia elfu 10 tutakua tushaita maji mma!!
Hadi Aprili tujiandae kushuhudia vifo na matatizo mengi yasababishwayo na joto kali
Yaani hata kama AC nyumbani haisaidii kama kuna mgao wa umeme!! Maana muda wamekata na wewe unakuwa sawa tu na mtu asiye na AC
Kinachotuokoa wengine ni AC za kwenye magari tu lasivyo tungekua na hali mbaya sana
Ingekua nchi za wanaojitambua hili la umeme lingeingiza watu barabarani na kuleta regime change kwenye nchi lakini kiko wapi!!
Mpaka April ifike ya hiyo deadline yao ya kumalizia kuuza majenereta yalobaki stoo karibia elfu 10 tutakua tushaita maji mma!!