Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,911
J makamba atakuja kupinga!Chonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
J makamba atakuja kupinga!Chonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Ha ha ha ha,labda ni Pro-5th termHuyu ni Boss mkubwa pale mitaa ya Lumumba...nimestaajabu mtaa wake kukosa umeme na maji.
Poleni sanaWameuchukua saa hizi...hakulaliki *****!
Mama anaupiga mwingi,vumilieni ndio mgao umeanza,maendeleo hayana chama bwasheeChonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Umeme dear sio maji.Poleni sana
Sie tuliunga ya kisima 24/7 supply
Watu ambao hamjui hio ndio political science, unatengeneza tatizo then unalisolve we mwenyewe,kwa mafala wanaingia kingi na credit wanakupa then unakuwa umecheza kama Pele, hio ndio TzMama anaupiga mwingi,vumilieni ndio mgao umeanza,maendeleo hayana chama bwashee
Tulieni nyie mliokengeuka mpate dawa yenu.Chonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Meneja wa Dawasco!Tulieni nyie mliokengeuka mpate dawa yenu.
Hilo Jimbo Lina urafiki na Mji wa Birmingham Alabama wasilianeni wawaletee maji ya kuoga.Chonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Mbunge kaingia mitini!Hilo Jimbo Lina urafiki na Mji wa Birmingham Alabama wasilianeni wawaletee maji ya kuoga.
Pump yenu haitumii umeme?Poleni sana
Sie tuliunga ya kisima 24/7 supply
Haya ndiyo mliyoyataka na bado jifunzeni kutotukana mamba kabla hamjavuka mtoChonde chonde Dawasa na Tanesco tufanyieni wepesi wateja wenu kwani hali ni tete si umeme wala maji.
Mtanikumbuka JPM 11.21(M.Y)Wameuchukua saa hizi...hakulaliki *****!
Unanipa hasira sana, Mbona Chif Hagaya katulia kama hakuna kitu hiviNyinyi watu mnasahau sana, ile bodi ya TANESCO haikuteuliwa kifala.
Tatizo linatengnezwa ili tupate sababu ya kutengeneza dili.
Tuko strategic kweli kweli zile safari za UAE sijui Saudia zitatupa jibu soon.
Usiponufaika na nafasi ya uongozi katika nchi hii ujue una element za ufala.
mama hata haeleweki, yaani amekaa tuli as if nothing major is happening,Unanipa hasira sana, Mbona Chif Hagaya katulia kama hakuna kitu hivi