Shyfar
Member
- Feb 5, 2014
- 44
- 26
teachers junction;9053296 said:sijakuelewa
Naomba nifikiliwe jamanii...nina
uwezo wa kufundusha history na
kiswahili olevel..ingawa nmesoma
ba ya journalism..lakini ndani yake
nmesomea hayo kama mwandishi ni
sehemu ya mwalimu hvyo basi
naomba ikionekana kuna nafasi ya
masomo hayo nipo tayari nipo dar.
namba zangu za simu ni
0757533748, 0718780448,
0682284573...nna nilishawahi
kufundisha miezi 8 by the time
nmemaliza form six. na elimu ya
chuo pia nmesoma kiswahili na
history na prinsple of teaching as a
subject ukiacha all packege nyngne
ya journalism.. npo tayarii. ndicho nilichamaanisha mkuu..