Teachers‘ Junction

Teachers‘ Junction

Naomba msaada wenu wa ushauri na maelekezo ni nini nifanye,Nimemaliza chuo Motco ngazi ya Diploma ktk fani ya Ualimu ila pasi kuwa na bahati nimefeli somo la Saikolojia kwa miaka 2 mfululizo kila niliporudia.Imenifanya nisipate cheti cha kuhitimu mafunzo ya Diploma na mwisho wake nimeishia kuwepo nyumbani bila kazi.Msaada wenu wa ushauri unahitajika kwangu kwani maisha yanazidi kuwa magumu,kama kuna sehemu inayojulikana kupatikana kwa nafasi ili nifundishe kipindi najipanga naomba niunganishwe.Nawasilisha kwenu kwa hatua na ushauri

Aisee pole sana. Inaonekana hilo somo unabifu na mwalimu wake haiwezekani ipige chini mara 2. Sitaki kuamini kuwa wewe ni mbovu kiasi hicho mpaka unafeli psychology kila unaporudia. Jaribu tena ndugu bila hvyo katafute temporarly work for teaching somewhere else ili upate kusogeza maisha.
 
teachers‘ junction;9454431 said:
Chemistry and Biology.
Biology and Phyisics.

shule ziko kongowe na Tegeta.
salary not less than 600,000/=
kabla ya tarehe 12nd/05/2014.

Grade A teacherz.
shule ziko kimara na mbweni tegeta.
salary 300,000/= to 350,000/=
mwisho 13rd/05/2014.
karibu teacherz junction.
magomeni mapipa kwa usail,interview and re-training.
0753-810857.
pia unaweza usaili na training kwa matawi yetu ya mbeya
0655-586906.
Pia tunatarajia kufungua tawi jipya jijini mwanza.
Teachers junction for Us

Unaweza ruhusiwa kufundisha shule zenu at the sametime ninaendelea na kazi yangu serikalini?. Manake kwa mshahara huo haunishawishi kuacha kazi yangu. Hata ukinilipi laki 8 still siwezi acha.
 
1.Walimu wa Geography.
diploma au Graduate.
Mbagala na mbezi kimara.
salary
600,000/= to 650,000/=
2.English
professional Teacherz and non but with an experience.

for six leaverz with English combination.
Muslims to Tabata
Christian to Mbagala

Before 02nd/05/2014.
At magomeni mapipa Dar es salaam.
Online Registration is applied kwa wamikoani tu.
0753-810857.
Pia unaweza wasiliana na branch yetu ya mbeya kwa namba.
0655-586906

Nina shahada ya Historia, pia naweza fundisha Geography kwan nimesoma HGK. Nipo nje ya Dar. Nipen utaratibu wa registratiom wakuu.
 
Nina shahada ya ualimu katika saikolojia kutoka chuo kikuu cha dar es salaam,natafuta kazi katika vyou vya ualimu ngazi ya cheti au diploma.

Nina uwezo wa kufundisha masomo yote yanayohusu ualimu pamoja na kompyuta katika ngazi za cheti na diploma

Namba zangu ni 0753756956
 
Kwa sasa bado kuna mahitaji ya walosema pcm na cbg
kwa ajili ya kufundisha primary na ordinary.
hata hivyo kwa sasa pia unaweza pata matangazo ya Teacchers' Junction kupitia
www.facebook.com/teachers'juncton
au piga 0753-810857 kwa Dar na pwani
0655-586906 kwa mbeya
 
kwa beya ni karibu na chuo kikuu cha mzumbe au unaweza piga
0655-586906
 
Habari wana jf
kwa sasa teacherS' Junction.
1. Wana mahitajio haraka kwa walimu wa Diploma masomo ya Science.
Shule ziko mbezi kimara na Kongowe mbagala.
salary not less than 500,0000/=

2. Kwa form six leaver
Walosoma michepuo ya science

Nb.
Ni hitajio la haraka tafadhali
kwa maelezo zaidi unawezafika magomeni mapipa Dar es salaam
Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa
Dar es salaaam na pwani 0753-810857
Mbeya 0655-586906
pia tunatarijia kufungua Tawi jijini mwanza.
kwa wadau wa mwanza wanaweza wasiliana na Makao Makuu kwa 0753-810857
kwani bado nafasi mbili kwa wafanyakazi wa tawi la mwanza.
 
Mimi mwalimu wa geography na Economics let me know kama kuna opportunities
 
Gud for that i wish i can be a headmisteress am taking b.a ebducation udsm
 
Habari za jumaatatu.
pole kwa majukumu ya hapa na pale.
Teachers' Junction (Teachers' Networking centre)
Tukiwa kwenye kipindi cha mitihani na kuelekea kufunga shule.
Tuna mahitaji ya walimu wa masomo ya kingereza,History na Science.
1.English
Diploma or Graduate
four Teachers.
Levels: Ordinary and Advanced
Location: Mbagala Dar es salaam
Salary Range: 550,000/= to 600,000/=


2. History.
Dipploma or Graduate
Three Teachers
Level: Ordinary
location: Kimara and Mbagala
Salary Range: 500,000/= to 600,000/=


3.Science Teachers.
Four Teachers
Level: Primary (english Medium)
Location: Makongo juu and Mbagala
Salary Not less than 450,000/=
 
Teachers' Junction (Teachers' Networking centre)
Tukiwa kwenye kipindi cha mitihani na kuelekea kufunga shule.
Tuna mahitaji ya walimu wa masomo ya kingereza,History na Science.
1.English
Diploma or Graduate
four Teachers.
Levels: Ordinary and Advanced
Location: Mbagala Dar es salaam
Salary Range: 550,000/= to 600,000/=


2. History.
Dipploma or Graduate
Three Teachers
Level: Ordinary
location: Kimara and Mbagala
Salary Range: 500,000/= to 600,000/=


3.Science Teachers.
Four Teachers
Level: Primary (english Medium)
Location: Makongo juu and Mbagala
Salary Not less than 450,000/=


Validity from 02nd/06 to 05th/06/2014
Early the better.
For more information call:
Dar es salaam and Costern:
+255753-810857
Mbeya Branch:
+255655-586906

You can also request for Friendship and like our facebook page:
www.facebook.com/teachers'junction
Or
visit our Head office at magomeni mapipa Dar es salaam
or
Mbeya branch near by Mzumbe University
Teachers' Junction
The Stength of Education
 
Habari za jumaatatu.
pole kwa majukumu ya hapa na pale.
Teachers' Junction (Teachers' Networking centre)
Tukiwa kwenye kipindi cha mitihani na kuelekea kufunga shule.
Tuna mahitaji ya walimu wa masomo ya kingereza,History na Science.
1.English
Diploma or Graduate
four Teachers.
Levels: Ordinary and Advanced
Location: Mbagala Dar es salaam
Salary Range: 550,000/= to 600,000/=


2. History.
Dipploma or Graduate
Three Teachers
Level: Ordinary
location: Kimara and Mbagala
Salary Range: 500,000/= to 600,000/=


3.Science Teachers.
Four Teachers
Level: Primary (english Medium)
Location: Makongo juu and Mbagala
qualification: Form six and Diploma of any but with Science in Advanced level.
Salary Not less than 450,000/=


Validity from 02nd/06 to 05th/06/2014
Early the better.
For more information call:
Dar es salaam and Costern:
+255753-810857
Mbeya Branch:
+255655-586906

You can also request for Friendship and like our facebook page:
www.facebook.com/teachers'junction
Or
visit our Head office at magomeni mapipa Dar es salaam
or
Mbeya branch near by Mzumbe University
Teachers' Junction
The Stength of Education
 
TEACHERS' JUNCTION
(Teachers Networking Centre in Tanzania)
WALIMU WA SCIENCE (DIPLOMA IN EDCT au FORM SIX LEAVER PCM,PCB CBG AND EGM)
Kwasasa bado tuna mahitajio ya walimu chache wa art nafasi 3 na nyingi kwa Science hususani nafasi tajwa hapo juu ambazo ni za haraka.
Ingawa pia tunayo mahitaji makubwa ya walimu wa art (history,geography,kiswahili,eng na civis) kwa graduate na diploma nafasi 11 kuanzia tarehe 10/06/2014 na mwanzoni mwa mwezi wa saba,hivyo kwa sasa unaweza sajili na kufanya usaili ili ukawa tayari kwa kuhudhuria usaili.
Pia hatuna budi kuwashukuru kwa ushirikiano wenu toka mwanzo hadi hapa tulipo sasa.
tukiwa tunaelekea mwisho wa muhula wa nusu mhula huku pia wenzetu wa diploma ya ualimu wakielekea kwenye mitihani yao ya mwisho hatuna budi kuwaombea "MUNGU AWAONGOZE".
Pia tumefanikiwa kukamilisha mahitaji ya walimu kwa kiasi kikubwa kwa upande wa walimu wa masomo arts kwa walalimu kwa taaluma na waso taaluma hiyo.


Kwa mawasiliano:
Teachers' Junction zone ya Dar na pwani iliyoko
Magomeni mapipa Dar es salaam
Simu 0753-810857


Zone ya Mbeya,Rukwa na Iringa
Mbeya karibu na chuo cha mzumbe
simu 0655-586906
Nb
HABARI NJEMA KWA MIKOA YA MOROGORO NA MWANZA
Kuanzia mwezi wa saba 2014 tawi letu la morogoro litazinduliwa Rasmi.
Huku tawi la mwanza na kanda yote ya ziwa likielekea kuanzishwa
Wadau kwa upande wa mwanza mnaobwa kujitokeza kwani matawi huendeshwa na kusimamiwa na watu wa mikoa husika.

Kua pamoja nasi muda wote kwa ku-like page yetu ili kupata updats zote.
www.facebook.com/teachers'junction kumbuka kuweka '
tupo twitter: teachers junction
pia unaweza tembelea blog yetu:
TEACHERS' JUNCTION
 
TEACHERS' JUNCTION
(Teachers Networking Centre in Tanzania)
WALIMU WA SCIENCE (DIPLOMA IN EDCT au FORM SIX LEAVER PCM,PCB CBG AND EGM)
Kwasasa bado tuna mahitajio ya walimu chache wa art nafasi 3 na nyingi kwa Science hususani nafasi tajwa hapo juu ambazo ni za haraka.
Ingawa pia tunayo mahitaji makubwa ya walimu wa art (history,geography,kiswahili,eng na civis) kwa graduate na diploma nafasi 11 kuanzia tarehe 10/06/2014 na mwanzoni mwa mwezi wa saba,hivyo kwa sasa unaweza sajili na kufanya usaili ili ukawa tayari kwa kuhudhuria usaili.
Pia hatuna budi kuwashukuru kwa ushirikiano wenu toka mwanzo hadi hapa tulipo sasa.
tukiwa tunaelekea mwisho wa muhula wa nusu mhula huku pia wenzetu wa diploma ya ualimu wakielekea kwenye mitihani yao ya mwisho hatuna budi kuwaombea "MUNGU AWAONGOZE".
Pia tumefanikiwa kukamilisha mahitaji ya walimu kwa kiasi kikubwa kwa upande wa walimu wa masomo arts kwa walalimu kwa taaluma na waso taaluma hiyo.


Kwa mawasiliano:
Teachers' Junction zone ya Dar na pwani iliyoko
Magomeni mapipa Dar es salaam
Simu 0753-810857


Zone ya Mbeya,Rukwa na Iringa
Mbeya karibu na chuo cha mzumbe
simu 0655-586906
Nb
HABARI NJEMA KWA MIKOA YA MOROGORO NA MWANZA
Kuanzia mwezi wa saba 2014 tawi letu la morogoro litazinduliwa Rasmi.
Huku tawi la mwanza na kanda yote ya ziwa likielekea kuanzishwa
Wadau kwa upande wa mwanza mnaobwa kujitokeza kwani matawi huendeshwa na kusimamiwa na watu wa mikoa husika.

Kua pamoja nasi muda wote kwa ku-like page yetu ili kupata updats zote.
www.facebook.com/teachers'junction kumbuka kuweka '
tupo twitter: teachers junction
pia unaweza tembelea blog yetu:
TEACHERS' JUNCTION

Form six leaver, PGM vipi?
 
Hongereni Teacher's Junction.
Nependa kuwatangazia walimu Lomat spin knitting inatengeneza masweta ya shule ya kila aina na rangi zote.Kwa yoyote atayetaka kuweka order ya kutengenezewa awasiliane nasi kwa simu no:0655911153
 
HITAJIO LA WALIMU WA MASOMO YA SCIENCE

Habari za weekend.
Poleni na majukumu ya hapa na pale.
tunapenda kuwa taarifu :-
Walimu walotakiwa kwenda kufanya interview kimara walishapatikana hivyo hakuna order kwa ajili ya kimara kwa sasa.

Ingawa bado hatujakamilisha ile ya form six leavers walosomea michepuo ya science bado wanahitaka.
HIVYO WALOSOMA MICHEPUO YA SCIENCE (PCM,PCB NA CBG) na DIPLOMA IN EDUCATION WITH SCIENCE.

Shule iko mbagala salary range yao ni 450,000/= to 550,000/= Kwa wasokuwa professional na 500,000/= to 600,000/= kwa professional teachers mwisho ni jumaatano ya 11st/jun/2014.

Kwa wale waloshafanya mbagala kongowe kwa masomo ya Arts wanatakiwa kuanza kazi tarehe 23[SUP]rd[/SUP]/jun/2014 kama kutakuwa na badiliko tutawafahisha "mungu awaongoze"

Walimu walokuwa wamepangwa kwenda makongo juu,uongozi umeghairisha tena lakini tutawapeleka kimara mwisho kwa interview ya kwanza kisha ile itakuwa ya pili.

Pia tunazo nafasi kwa walisoma masomo ya art lakin interview zitaanza tarehe 16[SUP]th[/SUP]/jun/2014 hivyo ni vyema ukawahi kujiandikisha na kufanya interview kabisa.

Kwa mawasiliano:

Teachers' Junction zone ya Dar na pwani iliyoko
Magomeni mapipa Dar es salaam
Simu 0753-810857

Zone ya Mbeya,Rukwa na Iringa
Mbeya karibu na chuo cha mzumbe
simu 0655-586906
Nb
HABARI NJEMA KWA MIKOA YA MOROGORO NA MWANZA
Kuanzia mwezi wa saba 2014 tawi letu la morogoro litazinduliwa Rasmi.
Huku tawi la mwanza na kanda yote ya ziwa likielekea kuanzishwa
Wadau kwa upande wa mwanza mnaobwa kujitokeza kwani matawi huendeshwa na kusimamiwa na watu wa mikoa husika.

Kua pamoja nasi muda wote kwa ku-like page yetu ili kupata updats zote.
www.facebook.com/teachers'junction kumbuka kuweka '
tupo twitter: teachers junction
pia unaweza tembelea blog yetu:
TEACHERS' JUNCTION
TEACHERS’ JUNCTION (Teachers Networking Centre) the strength of education.
 
Habari walimu na watanzania kwa ujumla
Wale walimu wa masomo ya history na English walokwisha fanyiwa interview hapa ofisini kwetu makao maku.
Tunapenda kuwataarifu kwamba interview za Kongowe,Mbagala na Tegeta zitaanza kufanyika kuanzia jumaa tano ya tarehe 18/07/2014,hivyo wanatakiwa kuwa tayari kuanzia leo hii hadi siku ya interview.
Hata hivyo wanatakiwa waende kwenye interview wakiwa n acv na copy za vyeti vyao.
Interview nyingine zitaendelea kutangazwa kwa walo walokwisha jisajili na kufanyiwa usaiili wa awali.
Pia bado tuna mahitaji ya walimu wa masomo ya English na Geography kwa Ordinary na Advanced level.
Kwa mawasiliano zaidi:
Kwa mawasiliano:
Teachers' Junction zone ya Dar na pwani iliyoko
Magomeni mapipa Dar es salaam
Simu 0753-810857

Zone ya Mbeya,Rukwa na Iringa
Mbeya karibu na chuo cha mzumbe.
simu 0655-586906

Nb
HABARI NJEMA KWA MIKOA YA MOROGORO NA MWANZA
Kuanzia mwezi wa saba 2014 tawi letu la morogoro litazinduliwa Rasmi.
Huku tawi la mwanza na kanda yote ya ziwa likielekea kuanzishwa
Wadau kwa upande wa mwanza mnaobwa kujitokeza kwani matawi huendeshwa na kusimamiwa na watu wa mikoa husika.

Kua pamoja nasi muda wote kwa ku-like page yetu ili kupata updats zote.
www.facebook.com/teachers'junction kumbuka kuweka '
tupo twitter: teachers junction
pia unaweza tembelea blog yetu:
www.https://jamii.app/JFUserGuide.blogspot.com
 
Hallow Teachers.
Those teachers who attended an interview in our office for History and English who can teach ordinary and Advanced level they have to be ready for interview at kongowe,mbagala and tegeta,interview should be done on
Wednesday 18th/jun/2014.
take time for revising.
for more inf:
0753-810857
 
Back
Top Bottom