TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Za loku dauni bunge ni za N. Moses.sheria
Za loku dauni bunge ni za N. Moses.sheria
Tunajua kwa nini TCRA wamemfungia: Pia na wao hawana makosa kwa sababu TCRA haiko huru ulitaka boss TCRA afanyeje amfungie Polepole au afukuzwe kazi? kwa kifupi tunahitaji katiba mpya ila kila taasisi iwajibike kwa wananchi badala ya kwa Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala.View attachment 2047592
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imemtaka aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa (CCM) ambaye kwa sasa ni Mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole kusimamisha maudhui ya kipindi chake cha Shule ya Uongozi kinachoruka kupitia Humphrey Polepole Online TV.
Uamuzi huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui wa TCRA, Hans Gunze ambapo amesema uamuzi huo unakuja baada ya kutenda makosa matatu ikiwemo kuzungumzia Deni la Taifa, Virusi vya Corona na suala la Machinga (Kwamba Wakuu wa Mikoa hawakufuata utaratibu).
"Kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole Online Tv kinaamriwa kusimamishwa kwa muda hadi Mmiliki atakapohakikisha anakuwa na Wafanyakazi wenye taaluma ya Uandishi wa Habari na Utangazaji ili kuleta ufanisi na tija katika vipindi vyake, pili kuhakikisha vipindi vyake vyote vinazingatia sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari na leseni yake"
"Pia baada ya kutekeleza maelezo hayo kipindi cha Humphrey Polepole Online kitatakiwa kutoa taarifa TCRA kuwa maelekezo yote yamezingatiwa na kuwa kipindi kitarejea chini ya Uangalizi wa TCRA kwa miezi 6, haki ya kukata rufaa ipo wazi ndani ya siku 21 Kisheria kuanzia siku ya kutolewa uamuzi"
#MillardAyoUPDATES
Siku chache zilizopita Polepole alikuwa na uwezo wa kumpigia simu boss wa TCRA na kumtaka ajieleze. Ni vizuri kufahamu kuwa madhara ya katiba mbovu anayapata kila mmoja wetu.Tunajua kwa nini TCRA wamemfungia: Pia na wao hawana makosa kwa sababu TCRA haiko huru ulitaka boss TCRA afanyeje amfungie Polepole au afukuzwe kazi? kwa kifupi tunahitaji katiba mpya ila kila taasisi iwajibike kwa wananchi badala ya kwa Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala.
1. Lkn kafungiwa kisa kutetea wamachinga
2. Kafungiwa kisa kuwakosoa wakuu wa mikoa hasa wa Dar es salaam, Rais hajui kinachoendela huku chini, Tanzania tulishasahau habari za Mgambo lkn sasa wana nguvu km polisi tena, wiki iliyopita walakamaa vijana wakifanya biashara mgambo walichkua laki moja moja kuttoka kila kijana, rushwa inatumika katika zoezi hili. Pale jogoo barabara ya kwenda mbezi juu wenye viwanda wametoa rushwa na kubolewa.
I get your point but kinyozi akinyolewa tunahamaki hatufurahi.
Polepole alikua mbunge?Polepole alipokuwa anatunga hizi sheria kandamizi alifikiri kuwa ni kwa ajili ya kukomoa upinzani peke yake
Najua huwezi kunielewa na wala siyo wewe tu ambae utashindwa kunielewa.Polepole alikua mbunge?
Akome...View attachment 2047592
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imemtaka aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa (CCM) ambaye kwa sasa ni Mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole kusimamisha maudhui ya kipindi chake cha Shule ya Uongozi kinachoruka kupitia Humphrey Polepole Online TV.
Uamuzi huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui wa TCRA, Hans Gunze ambapo amesema uamuzi huo unakuja baada ya kutenda makosa matatu ikiwemo kuzungumzia Deni la Taifa, Virusi vya Corona na suala la Machinga (Kwamba Wakuu wa Mikoa hawakufuata utaratibu).
"Kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole Online Tv kinaamriwa kusimamishwa kwa muda hadi Mmiliki atakapohakikisha anakuwa na Wafanyakazi wenye taaluma ya Uandishi wa Habari na Utangazaji ili kuleta ufanisi na tija katika vipindi vyake, pili kuhakikisha vipindi vyake vyote vinazingatia sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari na leseni yake"
"Pia baada ya kutekeleza maelezo hayo kipindi cha Humphrey Polepole Online kitatakiwa kutoa taarifa TCRA kuwa maelekezo yote yamezingatiwa na kuwa kipindi kitarejea chini ya Uangalizi wa TCRA kwa miezi 6, haki ya kukata rufaa ipo wazi ndani ya siku 21 Kisheria kuanzia siku ya kutolewa uamuzi"
#MillardAyoUPDATES
Haha, tutaelewana tu "polepole" na Watetezi wa Legacy😀Hapa Kazi Tu
N wao wana makosa ya kutoa rushwaTunajua kwa nini TCRA wamemfungia: Pia na wao hawana makosa kwa sababu TCRA haiko huru ulitaka boss TCRA afanyeje amfungie Polepole au afukuzwe kazi? kwa kifupi tunahitaji katiba mpya ila kila taasisi iwajibike kwa wananchi badala ya kwa Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala.
1. Lkn kafungiwa kisa kutetea wamachinga
2. Kafungiwa kisa kuwakosoa wakuu wa mikoa hasa wa Dar es salaam, Rais hajui kinachoendela huku chini, Tanzania tulishasahau habari za Mgambo lkn sasa wana nguvu km polisi tena, wiki iliyopita walakamaa vijana wakifanya biashara mgambo walichkua laki moja moja kuttoka kila kijana, rushwa inatumika katika zoezi hili. Pale jogoo barabara ya kwenda mbezi juu wenye viwanda wametoa rushwa na kubolewa.
Kesi ya Uhujumu uchumi inanukia upande wakeHaya ni manyunyu tu, asuburi mvua.
Hivi kwa nini haka kajamaa wasikavue tu ubunge ndondo au kuna ugumu gani wadau kisheria?View attachment 2047592
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imemtaka aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa (CCM) ambaye kwa sasa ni Mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole kusimamisha maudhui ya kipindi chake cha Shule ya Uongozi kinachoruka kupitia Humphrey Polepole Online TV.
Uamuzi huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui wa TCRA, Hans Gunze ambapo amesema uamuzi huo unakuja baada ya kutenda makosa matatu ikiwemo kuzungumzia Deni la Taifa, Virusi vya Corona na suala la Machinga (Kwamba Wakuu wa Mikoa hawakufuata utaratibu).
"Kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole Online Tv kinaamriwa kusimamishwa kwa muda hadi Mmiliki atakapohakikisha anakuwa na Wafanyakazi wenye taaluma ya Uandishi wa Habari na Utangazaji ili kuleta ufanisi na tija katika vipindi vyake, pili kuhakikisha vipindi vyake vyote vinazingatia sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari na leseni yake"
"Pia baada ya kutekeleza maelezo hayo kipindi cha Humphrey Polepole Online kitatakiwa kutoa taarifa TCRA kuwa maelekezo yote yamezingatiwa na kuwa kipindi kitarejea chini ya Uangalizi wa TCRA kwa miezi 6, haki ya kukata rufaa ipo wazi ndani ya siku 21 Kisheria kuanzia siku ya kutolewa uamuzi"
#MillardAyoUPDATES