Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,347
- 4,614
Tisiaraei ni wasengerema na wanaotoa dogKamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi. https://t.co/qq7KDtZnZvView attachment 2047426