Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,565
- 1,516
Habari Wakuu,
Binafsi na declare interest kuwa najihusisha na biashara za miamala ya mtamdao ya simu
Nimegundua, Mapema January baada ya Kamisheni Kushuka kwa ghafla.
Nilichogundua ni kutokulipwa kwa Mrejaa (kamisheni) pindi ninapo hudumia mteja anaetuma fedha kwa mteja alie nnje ya eneo, nilipoulizia kwa wakala mkuu nilijibiwa kuwa ukituma fedha direct kwenda kwa mtu aliye nje ya eneo hulipwi kamisheni/mrejaa hivyo unapaswa kumtumia mteja husika yeye ndio atume kwenda huko anakotaka kutuma, kama mjuavyo wateja wanakwepa makato lakini pia mteja anaweza akawa anataka kutuma fedha ila yeye hana laini ya Tigo.
Kilichonifanya niandike makala hii jikuwa wao TIGO wanakata makato kwa muamala husika lakini wakala harejeshewi kamisheni ya muamala husika why ?
Kama wanakata makato kwanini wasirejeshe? kwanini wao wanajipa? Na kwanini mitandao mingine wanatoa kamisheni hata utume popote?
Binafsi huu nauona kama wizi ambao umefumbiwa macho, nawasihi TCRA walifuatilie hili na wachukue hatua
NB: Nimewataja TIGO kwakua wao pekee ndio wanafanya hivi wengine hawana hii kadhia
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi na declare interest kuwa najihusisha na biashara za miamala ya mtamdao ya simu
Nimegundua, Mapema January baada ya Kamisheni Kushuka kwa ghafla.
Nilichogundua ni kutokulipwa kwa Mrejaa (kamisheni) pindi ninapo hudumia mteja anaetuma fedha kwa mteja alie nnje ya eneo, nilipoulizia kwa wakala mkuu nilijibiwa kuwa ukituma fedha direct kwenda kwa mtu aliye nje ya eneo hulipwi kamisheni/mrejaa hivyo unapaswa kumtumia mteja husika yeye ndio atume kwenda huko anakotaka kutuma, kama mjuavyo wateja wanakwepa makato lakini pia mteja anaweza akawa anataka kutuma fedha ila yeye hana laini ya Tigo.
Kilichonifanya niandike makala hii jikuwa wao TIGO wanakata makato kwa muamala husika lakini wakala harejeshewi kamisheni ya muamala husika why ?
Kama wanakata makato kwanini wasirejeshe? kwanini wao wanajipa? Na kwanini mitandao mingine wanatoa kamisheni hata utume popote?
Binafsi huu nauona kama wizi ambao umefumbiwa macho, nawasihi TCRA walifuatilie hili na wachukue hatua
NB: Nimewataja TIGO kwakua wao pekee ndio wanafanya hivi wengine hawana hii kadhia
Sent using Jamii Forums mobile app