Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,565
- 1,516
Inavyo onekana mitandao ya simu haiko Regulated kumaintain balnce of fairness kati yake na mlaji pamoja na a mawakala (Agent)
Hivi siku za karibuni ukianzia Dec 2022, Mitandao ya simu imekua ikiongeza tozo(charges) kwenye kulipia huduma kwanjia ya simu
Kwa mfano kulipia Bidhaa yenye thamani ya Tsh 10,000 - 19,000/= makato yamekua yakipanda kutokea 180, 200+, 360 na Leo wamepandisha ni Tsh 700/= ukijaribu kuangalia hizi interval ya upandishaji ni karibu kila mwezi wanabadili makato kwa kuongeza charges
Sasa swali la msingi nani anabariki haya makato wanayoya yaongeza? Je, wanawakomoa mawakala waliohamishia huduma za kutoa fedha kwenye LIPA KWA SIMU.
Mitandao hii pia imekua ikipunguza kamisheni kwenye kila muamala anaofanya wakala, je nani anasimamia haki za mawakala ili hali hakuna chama cha MAWAKALA WA MIAMALA ?
Je, Serikali na Mitandao ya Simu wanacheza michezo ya Pledge Bargain???
Hivi siku za karibuni ukianzia Dec 2022, Mitandao ya simu imekua ikiongeza tozo(charges) kwenye kulipia huduma kwanjia ya simu
Kwa mfano kulipia Bidhaa yenye thamani ya Tsh 10,000 - 19,000/= makato yamekua yakipanda kutokea 180, 200+, 360 na Leo wamepandisha ni Tsh 700/= ukijaribu kuangalia hizi interval ya upandishaji ni karibu kila mwezi wanabadili makato kwa kuongeza charges
Sasa swali la msingi nani anabariki haya makato wanayoya yaongeza? Je, wanawakomoa mawakala waliohamishia huduma za kutoa fedha kwenye LIPA KWA SIMU.
Mitandao hii pia imekua ikipunguza kamisheni kwenye kila muamala anaofanya wakala, je nani anasimamia haki za mawakala ili hali hakuna chama cha MAWAKALA WA MIAMALA ?
Je, Serikali na Mitandao ya Simu wanacheza michezo ya Pledge Bargain???