Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,527
- 27,041
Kama ni kweli wana nia ya dhati ya kuzuia watu wasitume pesa mbali direct kutoka kwa wakala, kwa nini wasiukomeshe huu mchezo kwa kuwapa signals mawakala kujua kama mteja huyu anajirushia yeye au anamtumia mtu wa mbali?
Haihitaji signals, wangetaka kukomesha wangezuia tu transactions za hivi.... yaani muamala usikamilike tu iwapo mpokeaji [kutoka kwa wakala] yuko nje ya eneo.