Mileage
JF-Expert Member
- Feb 27, 2020
- 371
- 519
Yah! Systems ziwe zinareject miamala nje ya eneo husika hiyo ndo suluhisho pekee.Haihitaji signals, wangetaka kukomesha wangezuia tu transactions za hivi.... yaani muamala usikamilike tu iwapo mpokeaji [kutoka kwa wakala] yuko nje ya eneo.