Je nifanye nini Kwa kisa hiki Vodacom Vs Tigo?

Very poor

JF-Expert Member
Apr 26, 2020
347
509
Mimi ni mteja wa Vodacom Tanzania mwenye full registration kama mteja wakaida. Jana nilipata dhalura kuna mahali nilikuwa nimeenda hivyo nikampigia simu rafiki yangu X, ambaye anatumia Mtandao wa tigo ili anitumie pesa X na kweli kama dak 5 alituma Kiasi hicho cha fedha kutoka tigo kuja kwenye laini yangu ya Vodacom na Mimi nilikiri kuipokea pesa husika.

Lakini baada ya kupokea nilimwambia yule rafiki yangu X, kwamba Ile mishe ambayo nilihitaji nitumie Ile pesa nishamaliza hivyo anaweza kuurudisha tu muamala kwake maana nafahamu inawezekana kuliko Mimi kuanza tena kumtumia upya na yeye alifanya hivyo bila kuchelewa na hata Mimi nikapokea SMS yakuonyesha muamala umerudishwa Kwa muhusika ambaye ni X, hapa ilikuwa usiku kama saa 2030hrs.

Bas Leo asubuhi nikamuuliza vipi pesa uliipata uliyoirudisha yeye akajibu hapana sijapata lakini ngoja niangalie salio, aliangalia salio hakukuta pesa iliyorudishwa.

Hivyo aliamua Kupiga huduma Kwa wateja nakuuliza Jana alirudisha muamala lakini pesa hajaipata changamoto ni nini? Wao walimjibu kuwa ni kweli aliomba kuurudisha lakini Kwa bahati mbaya mteja ambaye alimtumia alikuwa tayari kashaitoa hivyo Ombi halikufanikiwa

Basi aliniomba Mimi niwapgie Vodacom kuulizia huo muamala Vodacom wananijibu kuwa muamala husika ulirudishwa Kwa muhusika, Muda huo huo tigo wanasema muamala ulishindwa kurudishwa Kwa sababu mteja ambaye alipokea alikuwa ameshautoa.

Je nifanye nini kwenye scenario hii? Na kama ulishawahi kupata changamoto kama hii ulifanya nini? Mtandao wa tigo tumeongea nao wanasema nifuate utaratibu wakisheria Kwa kufika kituo cha polisi, lakini pia je snario hii kuna criminality gani mpaka niende polisi?

NB Mimi na huyu rafiki yangu tunaishi wote na hili zoezi tumelifanya wote tukiwa tunasikia mitandao husika wakitoa ufafanuzi wa suala hili.

Pole sana kwa suala lako la muamala kurejeshwa. Ndugu mteja tunapenda kukufahamisha kwamba muamala kwetu ulitoka kurejeshwa kwa mtumaji. Tafadhali mshauri mtumaji awasiliane na mtandao wake husika kwa msaada zaidi.

Tafadhali rejea: AL6BKS2 Transaction Reversal 13-12-2023 20:14:14 TIPS FSP Disburse Fund Reversal by MM SP\svcbottips 922749 - TIPS-TIGOPESA Completed TZS Tsh-().00.
Ahsante. ^FN

Moja ya ujumbe toka vodacom
 
Mimi ni mteja WA Vodacom Tanzania mwenye full registration kama mteja wakaida, Jana nilipata dhalura kuna mahali nilikuwa nimeenda hivyo nikampigia simu rafiki yangu X, ambaye anatumia Mtandao WA tigo ili anitumie pesa X na kweli kama dak 5 alituma Kia's hicho cha fedha kutoka tigo kuja kwenye lain yangu ya Vodacom na Mimi nilikiri kuipokea pesa husika, lakin baada yakupokea nilimwambia Yule rafik yangu X, kwamba Ile mishe ambayo nilihitaji nitumie Ile pesa nishamaliza hivyo anaweza kuurudisha tu muamala kwake maana nafaham inawezekana kuliko Mimi kuanza tena kumtumia upya na yeye alifanya hivyo bila kuchelewa na hata Mimi nikapokea SMS yakuonyesha muamala umerudishwa Kwa muhusika ambaye ni X, hapa ilikuwa usiku kama saa 2030hrs...

Bas Leo asbhi nikamuuliza Vip pesa uliipata uliyoirudisha yeye akajibu hapana sijapata lakin ngoja niangalie salio, aliangalia salio hakkukuta pesa iliyorudishwa,
Hivyo aliamua. Kupiga huduma Kwa wateja nakuuliza Jana alirudisha muamala lakin pesa hajaipata changamoto ni nini? Wao walimjibu kuwa ni kweli aliomba kuurudisha lakin Kwa bahati mbaya mteja ambaye alimtumua alikuwa tayar kashaitoa hivyo Ombi halikufanikiwa
Bas aliniomba Mimi niwapgie Vodacom kuulizia huo muamala Vodacom wananijibu kuwa muamala husika ulirudishwa Kwa muhusika, Muda huo huo tigo wanasema muamala ulishindwa kurudishwa Kwa sababu mteja ambaye alipokea alikuwa ameshautoa,
Je nifanye nini kwenye scenario hii? Na kama ulishawahi kupata changamoto kama hii ulifanya nini?,
Mtandao WA tigo tumeongea nao wanasema nifuate utaratibu wakisheria Kwa kufika kituo cha polis, lakin pia je snario hii kuna criminality gan mpka niende polis?

NB Mimi na huyu rafiki yangu tunaishi wote na hili zoezi tumelifanya wote tukiwa tunasikia mitandao husika wakitoa ufafanuzi Wa swala hili,

Pole sana kwa suala lako la muamala kurejeshwa. Ndugu mteja tunapenda kukufahamisha kwamba muamala kwetu ulitoka kurejeshwa kwa mtumaji. Tafadhali mshauri mtumaji awasiliane na mtandao wake husika kwa msaada zaidi.
Tafadhali rejea: AL6BKS2 Transaction Reversal 13-12-2023 20:14:14 TIPS FSP Disburse Fund Reversal by MM SP\svcbottips 922749 - TIPS-TIGOPESA Completed TZS Tsh-().00.
Ahsante. ^FN

Moja ya ujumbe toka vodacom
Inafikirisha sana....

Pole sana mkuu....

Ila kwangu machale yananicheza mwizi hapo ni mtu wa tiGo...

Vijamaa vya tiGo vijizijizi sana.
 
Mimi ni mteja WA Vodacom Tanzania mwenye full registration kama mteja wakaida, Jana nilipata dhalura kuna mahali nilikuwa nimeenda hivyo nikampigia simu rafiki yangu X, ambaye anatumia Mtandao WA tigo ili anitumie pesa X na kweli kama dak 5 alituma Kia's hicho cha fedha kutoka tigo kuja kwenye lain yangu ya Vodacom na Mimi nilikiri kuipokea pesa husika, lakin baada yakupokea nilimwambia Yule rafik yangu X, kwamba Ile mishe ambayo nilihitaji nitumie Ile pesa nishamaliza hivyo anaweza kuurudisha tu muamala kwake maana nafaham inawezekana kuliko Mimi kuanza tena kumtumia upya na yeye alifanya hivyo bila kuchelewa na hata Mimi nikapokea SMS yakuonyesha muamala umerudishwa Kwa muhusika ambaye ni X, hapa ilikuwa usiku kama saa 2030hrs...

Bas Leo asbhi nikamuuliza Vip pesa uliipata uliyoirudisha yeye akajibu hapana sijapata lakin ngoja niangalie salio, aliangalia salio hakkukuta pesa iliyorudishwa,
Hivyo aliamua. Kupiga huduma Kwa wateja nakuuliza Jana alirudisha muamala lakin pesa hajaipata changamoto ni nini? Wao walimjibu kuwa ni kweli aliomba kuurudisha lakin Kwa bahati mbaya mteja ambaye alimtumua alikuwa tayar kashaitoa hivyo Ombi halikufanikiwa
Bas aliniomba Mimi niwapgie Vodacom kuulizia huo muamala Vodacom wananijibu kuwa muamala husika ulirudishwa Kwa muhusika, Muda huo huo tigo wanasema muamala ulishindwa kurudishwa Kwa sababu mteja ambaye alipokea alikuwa ameshautoa,
Je nifanye nini kwenye scenario hii? Na kama ulishawahi kupata changamoto kama hii ulifanya nini?,
Mtandao WA tigo tumeongea nao wanasema nifuate utaratibu wakisheria Kwa kufika kituo cha polis, lakin pia je snario hii kuna criminality gan mpka niende polis?

NB Mimi na huyu rafiki yangu tunaishi wote na hili zoezi tumelifanya wote tukiwa tunasikia mitandao husika wakitoa ufafanuzi Wa swala hili,

Pole sana kwa suala lako la muamala kurejeshwa. Ndugu mteja tunapenda kukufahamisha kwamba muamala kwetu ulitoka kurejeshwa kwa mtumaji. Tafadhali mshauri mtumaji awasiliane na mtandao wake husika kwa msaada zaidi.
Tafadhali rejea: AL6BKS2 Transaction Reversal 13-12-2023 20:14:14 TIPS FSP Disburse Fund Reversal by MM SP\svcbottips 922749 - TIPS-TIGOPESA Completed TZS Tsh-().00.
Ahsante. ^FN

Moja ya ujumbe toka vodacom
Kuna mfanyakazi wa Tigo kachukua pesa zako..
Walishawahi kunifanyia hivi airtel..

mwanzoni Wakawa wananipiga masaa tu subiri sijui masaa 48 ya kazi yaani siku 6 nikasubiri hiyo siku nawapigia wanataka kunipa masaa mengine mbona kiliwaka..

Nikawawakia moto nikaenda mpaka Makao makuu yao..

HALAFU WALIVYO WAJINGA WANAFICHIANA SIRI JAPO WANAJUA KUWA PESA IMEPIGWA
 
Kwa uzoefu wangu hapo pesa yako ipo pending unatakiwa usubiri within 24 up to 72 hrs pesa itarudi kwa yule muhusika aliyeizuia
Hapo hakuna aliyeibiwa tusitumie mihemuko jamani
Okay sawa, lakin swala la kuniambia pesa imeshatolewa Kwa mpokeaji ilihali pesa imerudishwa wewe unalizungumziaje, nakunishauri nifuate utaratibu wakisheria ni sahihi?
 
Polee ila nakushauri huyo wa tigo akipiga simu awakarakashe yaani asiongee kwa upole....hii mimi iliwahi nisaidia na nikajua hata ile wanasemaga hela itarusishwa baada ya masaa 24 kuna muda unapewa on the spot ukikataa kuwa muoga
 
Tigo ni moja ya mitandao wa kihuni sana ukiwa wa pili baada ya airtel.

Fikiria hata kununua vocha mitandao mingine,hawana huduma hiyo kwenda kwenye line za voda,ajabu voda unaweza mnunulia mtu wa tigo.

Vimekaa kama tigo kiungo cha mwili.
 
Back
Top Bottom