luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wadau habari zenu !!
Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC TV katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,.
Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijawahi kukiona kabisaaa.
Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio
Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC TV katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,.
Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijawahi kukiona kabisaaa.
Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio