TBC ni kituo cha kwanza duniani kuwa na studio yenye jiko

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Wadau habari zenu !!

Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC TV katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,.

Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijawahi kukiona kabisaaa.

Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio
 
Hujui kama kula ni uhai acha wapike ili wale na wapate nguvu
Mbona huko maofisini kwenu Kuna majiko na mmeajili wapishi
Au watangazaji wao hawaruhusiwi kula au wao hawaendi chooni

Unaishi Dunia gani boy
 
Wadau habari zenu !!
Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC tv katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,. Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijjawahi kukiona kabisaaa.

Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio


Umesahau kuweka namba yako ya simu,unaweza kulamba teuzi hata ya kufagia
 
Wadau habari zenu !!
Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC tv katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,. Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijjawahi kukiona kabisaaa.

Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio


Yani sisi wabongo kwa mambo ya kulakula tuu. Laiti tungekuwa na huu weledi na uhodari wa kufakamia misosi kwenye kufanya kazi kwa bidii tungekuwa mbali.
 
Tangu aondoke rioba hapo ni
vituko kipindi hakijulikani Kama ni jambo au Cha mapishi halafu kuna huyo annual mlafi yeye kasimama karibu na maandazi yanavyopi
kwa midume mizima inakula maandazi badala ya mihogo pambafu
Oohooooo
 
Wadau habari zenu !!
Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC tv katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,. Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijjawahi kukiona kabisaaa.

Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio

Hizo ndo akili za Maccm wanawaza kula tu, Ili wakishashiba waanze kusifia na kupayuka
 
Wabongo kwa kula huwajui, studio ina mashangingi kibao lazima yapike vile kwao hawana muda wa kuweka makalio chini
 
Naona leo wanakula mihogo hahaha Hawa vijana huyo anuali mpaka anachapia maneno akili yote kwenye Kula concentration hakuna
 
Ndiyo maana ukiwakuta wote wamefutuka! Yaani siyo wanaume, siyo wanawake! Muda wote yanawaza kula tu na kuiimbia ccm mapambio.
 
Tangu aondoke rioba hapo ni
vituko kipindi hakijulikani Kama ni jambo au Cha mapishi halafu kuna huyo annual mlafi yeye kasimama karibu na maandazi yanavyopi
kwa midume mizima inakula maandazi badala ya mihogo pambafu
Rioba ashasepa TBC?!
 
Back
Top Bottom