TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

Kati ya makabila ambayo yanadumisha lugha zao ni Wasukuma,huwezi ukakutana msukuma kwake afu umsalimie kwa lugha nyingine,gonga kwanza ki-ngosha afu mnakuja mengineyo!
Safi sana bagosha
 
Maajabu Meya wa Ilemela chadema Matata kasimama kwenye jukwaa la ccm na kusema ccm oyee,kidumu chama cha mapinduzi.Hii ni mara ya tatu sasa,mara ya kwanza alitangaza kuwa anarudi nyumbani na uchaguzi ujao atagombea kupitia ccm
 
Maajabu Meya wa Ilemela chadema Matata kasimama kwenye jukwaa la ccm na kusema ccm oyee,kidumu chama cha mapinduzi.Hii ni mara ya tatu sasa,mara ya kwanza alitangaza kuwa anarudi nyumbani na uchaguzi ujao atagombea kupitia ccm


Anafanya hayo mbele ya gaidi mwigulu akitaraji huruma apitishwe na ccm atakaporudi huko ili agombee.

Na hii itakula kwake subiri muda ufike,
 
Joyce Masunga Katibu mkuu wa CCM Mwanza ni kichekesho analazimisha u-MC wakati sauti hana anakoroma kama kitimoto. Uso umebabuka kama walivyo wanawake wengi wa CCM wachumia tumbo
Mbona unaharisha hovyoo, Mwigulu anawapa dozi Tulia upone.
 
Hawa watu ni matejaa Hapa mbeleee yaaaani suraa zimekomaaaa wananjaaa sijui...nAzani wamepewaa 10000- 10000 hawaaaa
 
Hongera Mwanza mmefungiwa kazi zenu mmepewa T-shirt na kofia ili kuja kuwasikiliza mapepo naangalia TV mmenifurahisha
kwa kutoshangilia upuuzi wa CCM
 
Mkuu, angekuwa kichaa chama na Rais wangemuamini? Na je watu wangejazana uwanjani kumuangalia na kumsikiliza?

Rekebisha kauli wamesombwa na malori wamepewa tshet wali na buku tano yote hiyo kwa hisani ya akaunti ya escrow
 
naona baadhi ya misukule imeanza kuzimia! Imesombwa haijapewa chakula sasa inazimia
 
Naibu waziri wa CCM Mwigulu Nchemba anakiri kuwa serikali yake inatoa fedha za madawa kwa hospital za umma na dawa hazifiki panapostahili kidumu chama cha mafisadi CCM
 
CCM ni Ma Dr na Prof tu hakuna waliododge shule

Kina Dr. Kikwete, Prof. Maji Marefu, Dr. Manyuki, . . . . wamekaa darasani haswa hawa. Chama letu lina wasomi haswa. Kina Dr. Mwigulu Nchemba
 
ingekuwa anayoyasema wanayatekeleza ingekuwa bora
 
Back
Top Bottom