TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Muro amesahau kuwa muosha huoshwa?

Yesu aliwaambia wale watu waliotaka kumpiga mawe mwanamke aliyekutwa anazini.... ambaye hana dhambi awe wa kwanza ktupa jiwe...


Mponjoli, plse acha kutuchanganya watoto wa wenzenu. Tupe version yako basi. Kwani mtego umenasa kweli au umelipuka tu na kutoka kapa? Tuunganishie dots basi kadri unavyoijua hii story!
 
masikini Jerry wa watu...
i1556_1264936492jerrymuro.jpg


anyway, mficha ugonjwa...
 
I'll tell you why I'm laughing (if you didn't notice); Muro ameitwa kwenda mahali ambapo ameahidiwa kukatiwa kitu kidogo.. anatoa taarifa kwa vyombo husika (in this case, say TAKUKURU) na anaandaa watu wake wa kurekodi kitu hicho. Yule mtu mwingine anatoa taarifa kwa vyombo husika (lets assume ni Polisi); Polisi wanaandaa mtego wa kumtia matatani Muro, na mura anaandaa mtego kumtia matatani jamaa ili amrushe katika kipindi chake.

Well.. anaenda pale anakabidhiwa mzigo (polisi wanachekelea wamemnasa). Na mara moja wanaanza kujitamba kuwa jamaa anayepiga vita rushwa ndiyo huyo kakamatishwa. Habari zinaruka haraka haraka na wanamkimbiza Muro kituoni, sms zinaenea, na hadithi kolea.

Muro anafikishwa kituoni anapigishwa mkwara na maneno kibao. Anapewa nafasi ya kujitetea. Anawaambia "mna wazimu".. wanashangaaa..

should I tell you how the story end?

on the day that Jerry was airing ile issue ya Iringa, nilichonga na mkulu mmoja wa hilo jeshi letu .... akaniambia huyu dogo watamtenda tu ... kama sio kummaliza then watamshikisha adabu .... nikamuuliza why?? akasema sasa amezidi ... amefukuzisha sana watu kazi na haelekei kubadilika.

I was kinda puzzled!! kwamba ndivyo usalama wetu wa raia bongo walivyo?? ina maana hii move haiko supported kabisa na police .... to them wao wanaona kama wanadhalilishwa!

so MKJJ, hiyo ni first attempt tu, i believe there are more to come! Why serikali yetu isimpe ulinzi?? sababu the the guy is now a clear target! .... sitoshangaa kuona taa hii mpya ya matumaini ya uadilifu wa uandishi wa habari ikitokomezwa .... coz tumeshuhudia sehemu nyingi tu police wetu wakihusishwa na ujambazi na maovu mengineyo!

jamani tusingojee hilo litokee!

MDBD
 
I'll tell you why I'm laughing (if you didn't notice); Muro ameitwa kwenda mahali ambapo ameahidiwa kukatiwa kitu kidogo.. anatoa taarifa kwa vyombo husika (in this case, say TAKUKURU) na anaandaa watu wake wa kurekodi kitu hicho. Yule mtu mwingine anatoa taarifa kwa vyombo husika (lets assume ni Polisi); Polisi wanaandaa mtego wa kumtia matatani Muro, na mura anaandaa mtego kumtia matatani jamaa ili amrushe katika kipindi chake.

Well.. anaenda pale anakabidhiwa mzigo (polisi wanachekelea wamemnasa). Na mara moja wanaanza kujitamba kuwa jamaa anayepiga vita rushwa ndiyo huyo kakamatishwa. Habari zinaruka haraka haraka na wanamkimbiza Muro kituoni, sms zinaenea, na hadithi kolea.

Muro anafikishwa kituoni anapigishwa mkwara na maneno kibao. Anapewa nafasi ya kujitetea. Anawaambia "mna wazimu".. wanashangaaa..


should I tell you how the story end?


Mkuu please and please tell us how the story proceed from there!!!

Very interesting.........na Polisi ndio wataonekana walishabikia kwa sana!!

Tujuze mkuu yaliiishia vipi maana nina hamu sana kujua yaliishiaje!!
 
kama hakuna hadithi inayoshawishi basi waandoshi wote wa habari nawashauri waandamane kushinikiza ukweli maana wakikaa kimya wakati mwenzao kabambikiziwa basi ina maana wao wako hatarini
 
Muro siyo msafi wa kuandika habari za RUSHWA...🙁; Mara nyingi katika press conference amekuwa akipokea na kudai mshiko hili habari itoke. Kwanza hana mamlaka ya kuamua kutoa au kutokutoa habari, pili kwa kudai mshiko habari itoke anabaka taalumua ya uandishi.

Amechafua pia maana nzima ya tuzo ya uandishi wa habari na kutia aibu. Baadhi humu tunamfahamu kwa kudai mshiko na amepokea mishiko mingi sana.

Watanzania tuache ushabiki wa mambo tusiyoyafanyia utafiti.
 
I'll tell you why I'm laughing (if you didn't notice); Muro ameitwa kwenda mahali ambapo ameahidiwa kukatiwa kitu kidogo.. anatoa taarifa kwa vyombo husika (in this case, say TAKUKURU) na anaandaa watu wake wa kurekodi kitu hicho. Yule mtu mwingine anatoa taarifa kwa vyombo husika (lets assume ni Polisi); Polisi wanaandaa mtego wa kumtia matatani Muro, na mura anaandaa mtego kumtia matatani jamaa ili amrushe katika kipindi chake.

Well.. anaenda pale anakabidhiwa mzigo (polisi wanachekelea wamemnasa). Na mara moja wanaanza kujitamba kuwa jamaa anayepiga vita rushwa ndiyo huyo kakamatishwa. Habari zinaruka haraka haraka na wanamkimbiza Muro kituoni, sms zinaenea, na hadithi kolea.

Muro anafikishwa kituoni anapigishwa mkwara na maneno kibao. Anapewa nafasi ya kujitetea. Anawaambia "mna wazimu".. wanashangaaa..

should I tell you how the story end?

Yaaap......hii hadithi ina make sense sasa........! The hunter, hunted!
 
ni asubuhi tu nimesikia akiongea clouds FM akihojiwa na waandishi na kusema anashirikiana na polisi na kuwa yuko salama tu na hakuna baya lolote. anybody can fall. hata kama kafanya hivyo simlaumu kwani huwezi kujua kiundani mazingira yaliyosababisha yote haya
 
Hapo ndio unsikia kwa mwizi kaingia jambazi --- cha maana ni timing tu!!!
 
Hata kama kawekewa mtego kama kweli kafanya hilo kosa haki itendeke. SI hata yeye kuwa fichua hao polisi uli tumika mtego? Tunacho taka ni due justice.
 
Kwa upande wake Wage alidai kuwa mtuhumiwa anatumiwa na watu wengine ambapo juzi alimpandisha katika gari lake na kumfunga pingu kisha kumtaka atoe Sh milioni 10 na kwa kuthibitisha kuwa alikuwa ndani ya gari hilo alidai kuacha miwani yake yenye mikanda myeusi.

Polisi ilipomhoji Muro kama anazo pingu alikiri kumiliki pingu pamoja na bastola ambapo baada upekuzi katika gari lake lenye namba za usajili T 545 BEH polisi walikuta pingu hizo pamoja miwani iliyosemwa na mlalamikaji.

Muro alishinda tuzo ya Mwandishi bora wa mwaka kupitia vipindi vyake vya Televisheni vya "Usiku wa Habari" vinavyorushwa katika kituo cha TBC1 kila siku na kabla ya kuhamia hapo alikuwa kituo cha ITV na aliendesha kipindi cha "Ripoti Maalum".

Miongoni mwa mambo aliyokuwa akirusha katika vipindi hivyo ni pamoja na rushwa, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na ukiukwaji wa sheria.

Source: Michuzi Blog
 
hii ni moja kati ya hadithi nzuri ambayo haichoshi kuisikiliza
 
JAmani sasa wewe unaomba rushwa halafu unatumia nguvu (kumfunga pingu ili atoe rushwa si kutumia nguvu?) huo ni ujambazi sasa si kuomba rushwa . Nafikiri hii ni hadithi ili kuhalalisha uwepo wa pingu ndani ya gari la Muro
 
Watamuua kijana huyu. Pooole Jerry. Lakini nyie waandishi wa Tanzania hamfai kwasababu hakuna mwandishi pale bongo asiye pokea rushwa. Kwa taarifa zenu kila stiry inayo andikwa gazetini,redioni and Televisheni zote kwanza lazima mwndishi ankuuliza kama unaweza kumuwezesha,maneno mshiko,usafiri,nyeti,bahasha,nk... yote haya ni ya waandishi wa Tanzania. Hebu jiulize waziriviongozi wa vyama vya siasa kama wakiitisha press briefing zile soda tunazo waona wanazinywa hadi kukung'utia itoke yote ni zanini kama sio rushwa. Je story itabalance hapo ama utakuwa bias? Njooni ulaya muone maana ya media. Traffic officers and Journalists wa TZ hawachekani. Mimi niliondoke Newsroom kwasababu hiyo.Kazi hizi nito kama watawa wakichoka hurudi kuendelea na maisha.
 
Basi waandishi mpo wapi? Sasa wananchi tunawategeemeni nyie tuone nani akti yenu na polisi anafanya kazi ya jamii kwa uzalendo. Chama cha waandishi wa habari wanafanya nini? Kwa kuwa hatuna chanzo maalum juu ya hili, basi mi naamini tu kuwa ni fikira za baadhi ya watu wanaotamani kutokea kwa hayo.
 
NI kweli na inavyoelekea haikuwa imepangwa, ni mazoea. Kwani alikwenda kumvaa source huyo akiwa na jamaa fulani ambao aliwatambulisha kuwa ni usalama wa taifa, wakati siyo kweli, ni wajanja tu wa mjini. Naendelea kufuatilia hapa, nimemuona Muro, ngoja nizungumze naye

Na wewe hao hao nini una ushahidi gani kama sio visasi vya polisi?? Watu wanawekewa bangi, madawa ya kulevya mfukoni na wanasoteshwa kwa uzushi kama huo.
 
Back
Top Bottom