babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 16,313
- 20,903
Najua kuhusu hilo lakini sikiliza maelezo kova aliyotoa hivyo vitu kakutwa navyo na kakiri ni vyake,sio kilakitu unangangania polisi kubambikia sikiliza tena kova anasema nini sio unakurupuka tu.na maelezo ya jamaa alieombwa rushwa nikwamba Jerry alimtisha na bastola na pingu.Temea mate chini, police watanzania wanabambikiza vijana wetu baghi kila siku mitaani sembuse bastola na pingu, weeh acha bana.
Kaulizie kule Moshi walimfanya nini Imrani KOMBE....ACHA KABISA
Jerry mwandishi wa habari pingu na bastola vyanini, pingu haziuzwi popote bongo bastola sawa waweza sema ulinzi wake haya risiti hana na imekutwa loaded.