BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 486
Hivi huwa ukikutwa na bastola unaulizwa risiti au wanatakaga kujua kama unaimiliki kihalali?? mbona mimi nazidi kuwa confused?????
Ukiwa unamiliki bastola huwa unatakiwa kutembea na copy za vibali kuthibitisha kuwa huyo sila ni yako kihalali mtu yeyeote anayetembea na bastola muda wote hivyo vitu huwa anakuwa navyo kwenye gari lake na hata wakati wa kununua hiyo bastola wanakwmbia kabisa toa copy halafu wanaithibitisha maana huwezi tembea na document orignal muda wote kuna kupoteza ama zikachaa