Kifaru Kajeruhi
Member
- Aug 19, 2009
- 28
- 0
Jamani mi nafikiri hapa kuna maelezo zaidi yanatakiwa hapa.....maelezo ya Jerry Muro hayaeleweki....UPDATES please
Jerry pingu unasema ni zako???? mwandishi wa habari au kuna kingine tusichokijua babangu?
Tatizo la Watanzania ni kwamba hatuna standard moja inapokuja kwenye uhalifu. Tunatetea/kupinga kulingana na mhusika ni nani.
Kama Muro amechukua rushwa inabidi ashughulikiwe sawa na raia mwingine yeyote bila kujali yeye huko nyuma kafanya nini.
Masaula ya kwamba kwanini polisi na si TAKUKURU naona ni kutafuta mchawi bure.
Muhimu ni kusubiri ukweli wote ujulikane.
Kilicho wazi ni kwamba kwa tanzania waandishi wa habari huwa wanachukua rushwa ili waandike habari nzuri au wamtetea mhusika.
Kama Jerry angeomba rushwa si angewekewa mtego na PCCCB? Lakini ikumbukwe kuwa wanasema yeye ameomba rushwa akijitambulisha kuwa in officer wa PCCCB, hii hapa imekaaje? Yamkini kuna kitu hapa, either ka ukweli fulani au malipuano.
http://issamichuzi.blogspot.com/2010/01/jerry-muro-akiwa-kituo-cha-kati-cha.html.
Ninahisi kuwa Jerry anaweza pia kuwa intelligence agency na polisi hawafahamu. Maana yuko equipped kuliko nilivyomdhania.........Let give it time, we will soon learn something from here.
naomba anaejua sheria za tz anifahamishe,mtu wa kawaida haruhusiwi kumiliki pingu,maana kuna baadhi ya nchi pingu,na hata nguo bandia za polisi sio kosa kuwa nazo.vilevile naamini sheria inaruhusu mtu binafsi kumiliki bastola.....hivyo kukutwa na bastola sio issue kama anaimiliki kihalalai,pingu sijui naomba mnifahamishe
[/COLOR]
Mchezo ndipo ulipoanzia hapa- mpigie simu jifanye kuna habari- akija tu we tuachie kazi. Jerry unayo namba ya simu uliyopigiwa -atafutwe huyo mpigaji wa simu then tujue kama ni kweli kulikuwa na habari au ndo ulikuwa unaambiwa 'baby come?'
[/COLOR]
Nauliza tena hapa Jerry angesaidia namna gani?-Kumrudisha kazini au?
[/COLOR]
Kwa nini akimbilie kutoa ushahidi wa vitu alivyovikuta kwenye gari mapema hivi? Je Jerry wakati unatoka nyumbani kwako uliviona vidhibiti hivi garini kwako?
Jerry wakati wa kukamatwa hakukuwa na purukushani yoyote iliyowapa nafasi police kupossess ufunguo wako wa gari? Ulipopatikana mara ya pili ulipatikanajepatikanaje? sio kuwa waliuchukua na kwenda kuplace hivyo vidhibiti?
ah geshi ra borisi mnabaka haki yangu ya kuwaamini, mi ctaki kabisa bana
Nchi yetu ina mambo mengi sana kabisa, hasa unapoingia kwenye anga za hawa wa heshimiwa, Wana mbinu nyingi kabisa ambazo wanaweza kuzitumia ili kukushusha chini na kukushikisha adabu kwa lugha wanayo tumia wao.
Polis wa Kitanzania wakiamua kukushikisha hata wizi wa kuku wanaweza, Sipendi kuliongelea sana hili,bali kwa wale walio kwisha pitia matatizo ya jinsi hii watakueleza, JARIBU KUFUATILIA KISHA CHA KIFO CHA KOMBE KULE MAILI SITA MOSHI.!!!
Jerry naamini kama mwandishi makini wa kizazi kipya atakua humu akisoma na kutafakari ushauri huu anaopewa na Watanzania wenzake, ushauri murua Pape.SAKATA la Jerry Muro limetolewa ufafanuzi na kamanda Kova muda mfupi uliopita kuwa faili lake limepelekwa kwa mwanasheria Mkuu kwa uchunguzi zaidi ili kuona kama anastahili kupelekwa mahakamani au la. Kwa sasa Jerry, ambaye yuko nje kwa dhamana, anatakiwa kutulia wala kutoongea chochote kwa faida yake. Imeonekana mlungula hakuchukua ila alikuwa anaandaliwa mazingira ya kushikishwa rushwa...
Source: gonga hapa
Inategemea hilo faili limeandikwa tuhuma gani na kivipi.SAKATA la Jerry Muro limetolewa ufafanuzi na kamanda Kova muda mfupi uliopita kuwa faili lake limepelekwa kwa mwanasheria Mkuu kwa uchunguzi zaidi ili kuona kama anastahili kupelekwa mahakamani au la. Kwa sasa Jerry, ambaye yuko nje kwa dhamana, anatakiwa kutulia wala kutoongea chochote kwa faida yake. Imeonekana mlungula hakuchukua ila alikuwa anaandaliwa mazingira ya kushikishwa rushwa...
Source: gonga hapa