TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Hivi jamani......kweli inakujia akilini mtu amakutwa na bastola iko full hana risiti alafu akaachiwa kweli kwa dhamana ya kujizamini mwenyewe???? labda hizo stori wapelekwe watoto wa chekechea hata mtua asie enda darasani hatawaelewa?????
umefikiri kwa kina mkuu , respect kwako. kweli ukamatwe na bastola imejaa risasi na pingu....wakuache kwa dhamana , bila kulala ndani.
jamani ...hebu tufungue akili, na tufunguke akili.mbuzi huyu anataka kuuzwa ndani ya gunia.
ama kweli kua uyaone.
 
pole, kwani asemacho polisi ni mwisho wa utetezi, ama ni sahihi.
sakata la kombe tuliambiwa na IGP kuwa alihisiwa jambazi...mmh jambazi lililoiba gari, ati polisi hawamjui mkurugenzi wa usalama.
Zombe na wenzake walituambia waliwauwa majambazi kule sinza kwenye mapambano, wakati jaji anawasubiri wauaji...polisi...Polisi hawaaminiki hata chembe, wauaji sana. wasingiziaji sana.
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
 
pole, kwani asemacho polisi ni mwisho wa utetezi, ama ni sahihi.
sakata la kombe tuliambiwa na IGP kuwa alihisiwa jambazi...mmh jambazi lililoiba gari, ati polisi hawamjui mkurugenzi wa usalama.
Zombe na wenzake walituambia waliwauwa majambazi kule sinza kwenye mapambano, wakati jaji anawasubiri wauaji...polisi...Polisi hawaaminiki hata chembe, wauaji sana. wasingiziaji sana.
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
 
hili jambo ni nyeti sana, sasa naanza kupata picha kama huyu jamaa anamiliki pingu na bastola ambazo bila risiti (sasa sijui kama pingu ndiyo haina risiti au bastola au vyote hapo kova sijampata) huenda huyu jamaa... Basi niachie hapo mwenye akili atajua nataka kuongea nini?, maana hawa jamaa huwa hawajuani ati, sasa wakigongana na mlio ukatoka kwa nguvu watu wakausikia basi wanapiganapiagana hadharani kizushi then jiii!!!!!!!!. Hashtakiwi mtu hapo "quote" my post

tiss (100%)
 
hili jambo ni nyeti sana, sasa naanza kupata picha kama huyu jamaa anamiliki pingu na bastola ambazo bila risiti (sasa sijui kama pingu ndiyo haina risiti au bastola au vyote hapo kova sijampata) huenda huyu jamaa... Basi niachie hapo mwenye akili atajua nataka kuongea nini?, maana hawa jamaa huwa hawajuani ati, sasa wakigongana na mlio ukatoka kwa nguvu watu wakausikia basi wanapiganapiagana hadharani kizushi then jiii!!!!!!!!. Hashtakiwi mtu hapo "quote" my post

tiss (100%)
 
Mh mbona sasa naanza kuishiwa nguvu? Mbona kesi kama inabadilika vile? si rushwa tena ni kumiliki bastola (na pingu) bila risiti ohlalaaa kibali?
 
hii imekaa vibaya, nona sasa jeshi la pilisi lipo tayari kurudisha kisasi kwa jamaa, na tusipo mpigania JM anaweza akapotezwa

Kabisa naungan na wewe, kwanza bado najiuliza kwanini gari lake lilindwe na askari likiwa kituoni??? pili ile funguo yake mbona ilipotea ktk mazingira yasio eleweka halafu baada ya kupiga cm kwao aletewe funguo nyingine ile ikaonekana ilikwenda wapi??
Kweli polisi wamechemka wajipange upya tena
 
hii imekaa vibaya, nona sasa jeshi la pilisi lipo tayari kurudisha kisasi kwa jamaa, na tusipo mpigania JM anaweza akapotezwa

Kabisa naungan na wewe, kwanza bado najiuliza kwanini gari lake lilindwe na askari likiwa kituoni??? pili ile funguo yake mbona ilipotea ktk mazingira yasio eleweka halafu baada ya kupiga cm kwao aletewe funguo nyingine ile ikaonekana ilikwenda wapi??
Kweli polisi wamechemka wajipange upya tena
 
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
anaweza kuwa na umri mdogo, lakini akatenda kuliko mizee yenye umri wa baba yake, nani kakwambia uzee ndio utenda kazi, mbona tunamjadili huyu kijana, ujue ni ICON, kumbuka Biko alikufa akiwa na miaka 35 nakumbuka, lakini anaheshimika kule kwa madiba sambamba na kina Walter Sisulu, Oliver Tambo....

Babukijana nani alikwambia polisi wanakuacha bila upelelezi ukikamatwa na silaha isiyo na maelezo wala uhalali ikiwa imejaa risasi, hapohapo ukiwa na pingu.
 
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
anaweza kuwa na umri mdogo, lakini akatenda kuliko mizee yenye umri wa baba yake, nani kakwambia uzee ndio utenda kazi, mbona tunamjadili huyu kijana, ujue ni ICON, kumbuka Biko alikufa akiwa na miaka 35 nakumbuka, lakini anaheshimika kule kwa madiba sambamba na kina Walter Sisulu, Oliver Tambo....

Babukijana nani alikwambia polisi wanakuacha bila upelelezi ukikamatwa na silaha isiyo na maelezo wala uhalali ikiwa imejaa risasi, hapohapo ukiwa na pingu.
 
Mh mbona sasa naanza kuishiwa nguvu? Mbona kesi kama inabadilika vile? si rushwa tena ni kumiliki bastola (na pingu) bila risiti ohlalaaa kibali?

Hiyo ndio bongo! Hawa jamaa (polisi) wakiamua kukuvuruga, utasalimu amri tu! Sina hakika kama kwa sasa Muro anaendelea na kazi (ya kutafuta habari za uchunguzi) kama kawaida!

Lakini nimemsikia(radio clouds) Muro leo asubuhi akisema hakuna shida na huwa anafanya kazi pamoja na polisi!
 
Hivi huwa ukikutwa na bastola unaulizwa risiti au wanatakaga kujua kama unaimiliki kihalali?? mbona mimi nazidi kuwa confused?????
 
Hivi huwa ukikutwa na bastola unaulizwa risiti au wanatakaga kujua kama unaimiliki kihalali?? mbona mimi nazidi kuwa confused?????
 
Mh mbona sasa naanza kuishiwa nguvu? Mbona kesi kama inabadilika vile? si rushwa tena ni kumiliki bastola (na pingu) bila risiti ohlalaaa kibali?

OOOh my Gosh ngoja tuone sheria inachukua mkondo wake pia upelelezi naimani utatenda haki yake kama si njama za hawa maafande
 
Swali langu ni kuwa pingu alikuwa anazitumia kwa ajili gani?

Ingawa hata kamba ni pingu..hizo ni pingu za chuma tu na sidhani kama kuna kosa kumiliki pingu. Ila alikuwa nazo za nini?
 
Swali langu ni kuwa pingu alikuwa anazitumia kwa ajili gani?

Ingawa hata kamba ni pingu..hizo ni pingu za chuma tu na sidhani kama kuna kosa kumiliki pingu. Ila alikuwa nazo za nini?
 
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
BK hivi kwa mtu kama JM anajijua fika yeye anawindwa kwa udi na uvumba kuhusu kuwalipuwa wala rushwa na madhambi mengineo kweli akurupuke tu akachukue rushwa ya 10 milioni kwa mtu alifukuzwa kazi na PM inakujia akilini kweli. JM anamlaka yapi ya kumrudisha mtu kazini alie fukuzwa kazi na PM. Huyo mhasibu alietimuliwa kazi kwani JM ndie alie sababisha ama ni uzembe wake kazini hadi ukafika kwa bosi wake PM akatimiliwa.
Hizi zote habari nakwambia ni ujanja wa kumnyamazisha JM asiendelee na mapambano yake ya kupinga rushwa.
JM kama upo jamvini usife moyo wala usikate tamaa mapambano bado yanaendelea wembe ni uleule
 
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
BK hivi kwa mtu kama JM anajijua fika yeye anawindwa kwa udi na uvumba kuhusu kuwalipuwa wala rushwa na madhambi mengineo kweli akurupuke tu akachukue rushwa ya 10 milioni kwa mtu alifukuzwa kazi na PM inakujia akilini kweli. JM anamlaka yapi ya kumrudisha mtu kazini alie fukuzwa kazi na PM. Huyo mhasibu alietimuliwa kazi kwani JM ndie alie sababisha ama ni uzembe wake kazini hadi ukafika kwa bosi wake PM akatimiliwa.
Hizi zote habari nakwambia ni ujanja wa kumnyamazisha JM asiendelee na mapambano yake ya kupinga rushwa.
JM kama upo jamvini usife moyo wala usikate tamaa mapambano bado yanaendelea wembe ni uleule
 
OOOh my Gosh ngoja tuone sheria inachukua mkondo wake pia upelelezi naimani utatenda haki yake kama si njama za hawa maafande

Mimi hii sheria ya Tanzania ambayo inatakiwa kuchukua mkondo wake huwa inanitilisha mashaka ah.
 
Back
Top Bottom