Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

"Maccm ni majitu ya ovyo ovyo na yenye roho za kishetani". Kwa taarifa yako walioitisha mchango siyo Chadema bali ni wanaharakati walioguswa na madhila aliyopitia Tundu Lissu. Chama kingeitisha mchango huo na kuratibiwa na ngazi zote za uongozi hiyo hela ingepatikana hata kwa siku moja tu. Punguza chuki kwa Chadema haitakuongezea shibe wala wingi wa siku za kuishi hapa duniani. Nayasoma sana maandiko yako yaliyojaa chuki,kebehi na dharau nyingi kwa Chadema na wanachama wake.
Unaposema wanaharakati walioguswa na madhila yaliyomkuta Lissu .je unamaanisha ninyi CHADEMA hamjaguswa kuweza kumchangia ili apate gari mpya kabisa?
 
Hakuna hoja hizo ni viroja kwani wanaomchangia form Samia toka mwezi January hadi sasa mbona wana million 3 pekee??
ccm haona wanachama?!
Unasemaje? Huoni mpaka sasa yamechangiwa mamillioni kwa mamillioni? Hujaona pesa zinachangwa hadi millioni mia moja kwa mkupuo? Unafahamu walimu peke yao walichangia kiasi gani?
 
Unaposema wanaharakati walioguswa na madhila yaliyomkuta Lissu .je unamaanisha ninyi CHADEMA hamjaguswa kuweza kumchangia ili apate gari mpya kabisa?
Soma tena nilichoandika. Unakurupuka sana dogo. Maria Sarungi katangazia huko X ,jee ni wangapi katika wanachama wa Chadema nchi nzima wanaingia huko? Ndiyo maana nimekuambia kama ni Chadema ndiyo wangeitisha huo mchango wangewashirikisha viongozi wa ngazi zote. Jaribu kuelewa somo hivi shuleni ulikuwa unafanyaje ukishika paper unakurupuka tu kujibu bila kuelewa swali ili uwe wa kwanza kumaliza?
 
Unasemaje? Huoni mpaka sasa yamechangiwa mamillioni kwa mamillioni? Hujaona pesa zinachangwa hadi millioni mia moja kwa mkupuo? Unafahamu walimu peke yao walichangia kiasi gani?
Leta evidence million 100 zimechngwa wapi zimehifadhiwa kwenye account gani tuweze kukuamini?? Kama sio propaganda kama wenzio walio salimia na kufeli
 
Soma tena nilichoandika. Unakurupuka sana dogo. Maria Sarungi katangazia huko X ,jee ni wangapi katika wanachama wa Chadema nchi nzima wanaingia huko? Ndiyo maana nimekuambia kama ni Chadema ndiyo wangeitisha huo mchango wangewashirikisha viongozi wa ngazi zote. Jaribu kuelewa somo hivi shuleni ulikuwa unafanyaje ukishika paper unakurupuka tu kujibu bila kuelewa swali ili uwe wa kwanza kumaliza?
Kwa hiyo kuna wanachadema ambao mpaka sasa hivi hawafahamu kama kuna mchango unaoendelea kwa ajili ya kumchangia Lissu kununua gari mpyaaaa? Hao wanaofahamu kama Lissu anahitaji msaaada wa michango hawawezi kufika hata laki moja ndani na nje ya nchi? Kama laki moja wanafika inashindikana nini kupatikana walau hata million 50 mpaka wakati huu? Maana watu laki wakichanga mia tano tano inapatikana millioni hamsini. CHADEMA kubalini tu kuwa kwa sasa hamna wanachama wa kueleweka na wenye mapenzi mema na CHADEMA na ambao wanaweza kujitolea hela zao kumpa mtu kama Lissu anayetoa lugha za kibaguzi na chuki .
 
Kwa hiyo kuna wanachadema ambao mpaka sasa hivi hawafahamu kama kuna mchango unaoendelea kwa ajili ya kumchangia Lissu kununua gari mpyaaaa? Hao wanaofahamu kama Lissu anahitaji msaaada wa michango hawawezi kufika hata laki moja ndani na nje ya nchi? Kama laki moja wanafika inashindikana nini kupatikana walau hata million 50 mpaka wakati huu? Maana watu laki wakichanga mia tano tano inapatikana millioni hamsini. CHADEMA kubalini tu kuwa kwa sasa hamna wanachama wa kueleweka na wenye mapenzi mema na CHADEMA na ambao wanaweza kujitolea hela zao kumpa mtu kama Lissu anayetoa lugha za kibaguzi na chuki .
Wewe unalazimisha fikra zako ziwe ndiyo uhalisia,ndiyo hapo unapokosea na kwa vile moyo wako umeujaza chuki kwa Chadema basi kila kitu cha Chadema kwako wewe ni hasi tu. Anyway ni haki yako kuwaza lolote ndiyo demokrasia yenyewe ila tu usimuone mwenye fikra tofauti na wewe kuwa ni adui,ni mjinga,mpumbavu na siyo mzalendo. Sisi wote ni Watanzania hakuna asiyeipenda Tanzania kwani hatuna nchi nyingine zaidi ya hii lakini pia hatuwezi kufanana mitazamo na fikra. Relax usiumize sana moyo wako kwa chuki ukidhani kuwa ndiyo utaonekana unaisaidia CCM yako.
 
Wafuasi wa cdm huwa wanatoa kura na sio fedha. Fedha ni jambo la hiari. Na Lisu hataki fedha chafu, hivyo hizo atakazopata ni watu waliojifunga mikanda. Cdm sio chama Cha matajiri wauza unga kama wa ccm, Bali cha walalahoi.
Mkuu hivi kweli mbwembwe zote zile Lisu ni wa kukosa wafuasi laki 5 wa kuchangia elfu moja moja ili apate milioni 500 ya shangingi?
 
Mambo ya chadema waachie wenyewe! Ukiona chadema ni nzuri na unahitaji mabadiliko ktk hiko chama basi chukua kadi kuwa mwanachama

Tulia na chama chako jenga chama chako, kosoa chama chako, kijenge chama chako!

Usingoje makonda aje akosoe ndio nawe utokeshimoni...!

Usingoje mwenyekiti wako aseme ndio nawe useme! Wakati huo akiwa kimya unamsifia ata kama amekosea!

Jenga chama chako, jenga taifa lako!

Chama chako kipo madarakani miaka nenda rejea, kina mapungufu kibao! Paza sauti kujenga nchi na chama

Kemea watendaji wazembe!

******
Wewe atakuwa mtendaji wanyumba kumi hakuna utafanya, ata ile kazi ya Anuani za makazi sijui kama ulifanya kwa ufanisi kwa namna unavyoishi katika hii platform!
Mmeanza kugombana Chawa
 
Unasemaje? Huoni mpaka sasa yamechangiwa mamillioni kwa mamillioni? Hujaona pesa zinachangwa hadi millioni mia moja kwa mkupuo? Unafahamu walimu peke yao walichangia kiasi gani?
Leta ushahidi unapiga kelele mamilioni ya maneno bila ushahidi ni sawa na taarabu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Michago ya kumchangia Lissu Fedha za kununulia Gari imewaumbua sana CHADEMA, imewapa aibu,fedheha ,imewavua nguo hadharani na imeonyesha na kuthibitisha kauli yangu nayosemaga humu jukwaani kuwa CHADEMA imepuuzwa na inaendelea kupuuzwa na mamilioni ya watanzania kila uchwao.

Michago inayoendelea kuchangwa imeonyesha CHADEMA haina wanachama hai hata million moja tu.imeonyesha CHADEMA huwa wanapika takwimu ili kuwapofua macho na akili wafuasi wake kiduchu na wafadhili wao. Sasa kwa sasa tangia michango imeanza kuchangwa kwa ajili ya Lissu, CHADEMA na wana CHADEMA mpaka muda huu wameshindwa kufikisha millioni 30.

Sasa tizama mahesabu haya kutoka kwangu Mwashambwa Lucas kada kindaki Ndaki wa CCM.

Kama CHADEMA ingekuwa na walau wafuasi na wanachama hai hata laki tano Tuuuu yaani 500,000 na kila mwanachama akachanga walau elfu moja tu maana yake mpaka sasa ingekuwa imepatikana Million mia tano keshi. Yaani

500,000×1000= 500,000,000/=

je pesa hizi zisingetosha kununua gari analolitaka Lissu na chenji kubaki??

Kama CHADEMA ingekuwa na wafuasi Million moja na kila mtu akachanga walau shilingi mia tano maana yake ni kuwa bado Lissu angepata millioni mia tano keshi.

Sasa hao mamilioni ya wanachama ambao CHADEMA huwa inasema inao wengi kuliko wana CCM wapo wapi? Wamejificha wapi? Hawajaona na kusikia kuwa Lissu anahitaji na kuomba walau hata miatano tu? Ikumbukwe kuwa CHADEMA huwa wanasema wana wanachama zaidi ya millioni kumi.

Sasa kama kati ya wanachama zaidi ya milioni kumi wanashindikana kupatikana hata wanachama laki tano tu wa kuchangia elfu moja tu ili kupata million mia tano.je hamuoni kuwa chama hiki kinapika takwimu mara nyingi?

Hata zile kura alizopata Hayati Lowassa mwaka 2015,zilitokana na mgawanyiko uliotoka ndani ya CCM katika upatikanaji wa mgombea Urais. Hata katika ngazi ya ubunge mahali popote pale wanapopata ubunge CHADEMA huwa ni kura za wana CCM wenzetu wanaokuwa wamegawanyika nakupiga kura za hasira kwa upinzani kama sehemu ya kutoridhishwa wakati mwingine na jina linalokuwa limerejeshwa na vikao vya juu.

Lakini kama sisi sote Wana CCM Pamoja na mashabiki wetu na wakereketwa na wanachama kindaki ndanki tukiamua kupigia kura wagombea wetu,nawahakikishia CHADEMA na upinzani wote kuwa hakuna kiti kinachoweza kwenda upinzani kuanzia mwenyekiti wa kitongoji hadi ngazi ya Urais. Upinzani hauwezi kuambulia chochote kile.

Na kwa sasa wale Wana CCM wachache waliokuwa wanapiga kura za hasira kwa upinzani hasa CHADEMA wamejifunza na kujutia makosa yao kwa machozi na maumivu makali sana.wametambua kuwa walikuwa wanajikomesha wenyewe na siyo chama.maana wameona upinzani kazi yao ni kupinga kila kitu na kila jambo pasipo kumpigania mwananchi kwa lolote lile. Kwa hiyo huu mserereko na mteremko waliokuwa wakipata CHADEMA kwa sasa wasahau kabisa kuupata.maana kila mwana CCM amejilia kiapo cha kuipa kura ya ndio CCM Katika kila ngazi ya uchaguzi.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. CHADEMA njooni Nataka tubishane kwa hoja na siyo makelele na matusi. Weka hesabu nami niweke hesabu. Weka takwimu nami nishushe nondo za uhakika. Raha ya CCM Ni kubishana kwa hoja na siyo matusi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
We jamaa unahangaika na Chadema sana. Chama chenu mfu
Ndugu zangu Watanzania,

Michago ya kumchangia Lissu Fedha za kununulia Gari imewaumbua sana CHADEMA, imewapa aibu,fedheha ,imewavua nguo hadharani na imeonyesha na kuthibitisha kauli yangu nayosemaga humu jukwaani kuwa CHADEMA imepuuzwa na inaendelea kupuuzwa na mamilioni ya watanzania kila uchwao.

Michago inayoendelea kuchangwa imeonyesha CHADEMA haina wanachama hai hata million moja tu.imeonyesha CHADEMA huwa wanapika takwimu ili kuwapofua macho na akili wafuasi wake kiduchu na wafadhili wao. Sasa kwa sasa tangia michango imeanza kuchangwa kwa ajili ya Lissu, CHADEMA na wana CHADEMA mpaka muda huu wameshindwa kufikisha millioni 30.

Sasa tizama mahesabu haya kutoka kwangu Mwashambwa Lucas kada kindaki Ndaki wa CCM.

Kama CHADEMA ingekuwa na walau wafuasi na wanachama hai hata laki tano Tuuuu yaani 500,000 na kila mwanachama akachanga walau elfu moja tu maana yake mpaka sasa ingekuwa imepatikana Million mia tano keshi. Yaani

500,000×1000= 500,000,000/=

je pesa hizi zisingetosha kununua gari analolitaka Lissu na chenji kubaki??

Kama CHADEMA ingekuwa na wafuasi Million moja na kila mtu akachanga walau shilingi mia tano maana yake ni kuwa bado Lissu angepata millioni mia tano keshi.

Sasa hao mamilioni ya wanachama ambao CHADEMA huwa inasema inao wengi kuliko wana CCM wapo wapi? Wamejificha wapi? Hawajaona na kusikia kuwa Lissu anahitaji na kuomba walau hata miatano tu? Ikumbukwe kuwa CHADEMA huwa wanasema wana wanachama zaidi ya millioni kumi.

Sasa kama kati ya wanachama zaidi ya milioni kumi wanashindikana kupatikana hata wanachama laki tano tu wa kuchangia elfu moja tu ili kupata million mia tano.je hamuoni kuwa chama hiki kinapika takwimu mara nyingi?

Hata zile kura alizopata Hayati Lowassa mwaka 2015,zilitokana na mgawanyiko uliotoka ndani ya CCM katika upatikanaji wa mgombea Urais. Hata katika ngazi ya ubunge mahali popote pale wanapopata ubunge CHADEMA huwa ni kura za wana CCM wenzetu wanaokuwa wamegawanyika nakupiga kura za hasira kwa upinzani kama sehemu ya kutoridhishwa wakati mwingine na jina linalokuwa limerejeshwa na vikao vya juu.

Lakini kama sisi sote Wana CCM Pamoja na mashabiki wetu na wakereketwa na wanachama kindaki ndanki tukiamua kupigia kura wagombea wetu,nawahakikishia CHADEMA na upinzani wote kuwa hakuna kiti kinachoweza kwenda upinzani kuanzia mwenyekiti wa kitongoji hadi ngazi ya Urais. Upinzani hauwezi kuambulia chochote kile.

Na kwa sasa wale Wana CCM wachache waliokuwa wanapiga kura za hasira kwa upinzani hasa CHADEMA wamejifunza na kujutia makosa yao kwa machozi na maumivu makali sana.wametambua kuwa walikuwa wanajikomesha wenyewe na siyo chama.maana wameona upinzani kazi yao ni kupinga kila kitu na kila jambo pasipo kumpigania mwananchi kwa lolote lile. Kwa hiyo huu mserereko na mteremko waliokuwa wakipata CHADEMA kwa sasa wasahau kabisa kuupata.maana kila mwana CCM amejilia kiapo cha kuipa kura ya ndio CCM Katika kila ngazi ya uchaguzi.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. CHADEMA njooni Nataka tubishane kwa hoja na siyo makelele na matusi. Weka hesabu nami niweke hesabu. Weka takwimu nami nishushe nondo za uhakika. Raha ya CCM Ni kubishana kwa hoja na siyo matusi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
We endelea kung'ang'ana na million10 ukifikiri wanachadema wamekwama! Tambua Kuna ambao hawahitaji kujitangaza! Na kwa taarifa yako wapo wanachadema wenye ukwasi walioupata kihalali na sio Kwa ufisadi kama wa ccm! Na ambao sio ajabu Kwa muda huu unaobwabwaja humu wewe Luka mshamba,gari imeshatolewa order kiwandani tena bullet proof! Na tunatambua ninyi ni wachawi,ikitua tu bandarini tunawekea uchawi proof!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Michago ya kumchangia Lissu Fedha za kununulia Gari imewaumbua sana CHADEMA, imewapa aibu,fedheha ,imewavua nguo hadharani na imeonyesha na kuthibitisha kauli yangu nayosemaga humu jukwaani kuwa CHADEMA imepuuzwa na inaendelea kupuuzwa na mamilioni ya watanzania kila uchwao.

Michago inayoendelea kuchangwa imeonyesha CHADEMA haina wanachama hai hata million moja tu.imeonyesha CHADEMA huwa wanapika takwimu ili kuwapofua macho na akili wafuasi wake kiduchu na wafadhili wao. Sasa kwa sasa tangia michango imeanza kuchangwa kwa ajili ya Lissu, CHADEMA na wana CHADEMA mpaka muda huu wameshindwa kufikisha millioni 30.

Sasa tizama mahesabu haya kutoka kwangu Mwashambwa Lucas kada kindaki Ndaki wa CCM.

Kama CHADEMA ingekuwa na walau wafuasi na wanachama hai hata laki tano Tuuuu yaani 500,000 na kila mwanachama akachanga walau elfu moja tu maana yake mpaka sasa ingekuwa imepatikana Million mia tano keshi. Yaani

500,000×1000= 500,000,000/=

je pesa hizi zisingetosha kununua gari analolitaka Lissu na chenji kubaki??

Kama CHADEMA ingekuwa na wafuasi Million moja na kila mtu akachanga walau shilingi mia tano maana yake ni kuwa bado Lissu angepata millioni mia tano keshi.

Sasa hao mamilioni ya wanachama ambao CHADEMA huwa inasema inao wengi kuliko wana CCM wapo wapi? Wamejificha wapi? Hawajaona na kusikia kuwa Lissu anahitaji na kuomba walau hata miatano tu? Ikumbukwe kuwa CHADEMA huwa wanasema wana wanachama zaidi ya millioni kumi.

Sasa kama kati ya wanachama zaidi ya milioni kumi wanashindikana kupatikana hata wanachama laki tano tu wa kuchangia elfu moja tu ili kupata million mia tano.je hamuoni kuwa chama hiki kinapika takwimu mara nyingi?

Hata zile kura alizopata Hayati Lowassa mwaka 2015,zilitokana na mgawanyiko uliotoka ndani ya CCM katika upatikanaji wa mgombea Urais. Hata katika ngazi ya ubunge mahali popote pale wanapopata ubunge CHADEMA huwa ni kura za wana CCM wenzetu wanaokuwa wamegawanyika nakupiga kura za hasira kwa upinzani kama sehemu ya kutoridhishwa wakati mwingine na jina linalokuwa limerejeshwa na vikao vya juu.

Lakini kama sisi sote Wana CCM Pamoja na mashabiki wetu na wakereketwa na wanachama kindaki ndanki tukiamua kupigia kura wagombea wetu,nawahakikishia CHADEMA na upinzani wote kuwa hakuna kiti kinachoweza kwenda upinzani kuanzia mwenyekiti wa kitongoji hadi ngazi ya Urais. Upinzani hauwezi kuambulia chochote kile.

Na kwa sasa wale Wana CCM wachache waliokuwa wanapiga kura za hasira kwa upinzani hasa CHADEMA wamejifunza na kujutia makosa yao kwa machozi na maumivu makali sana.wametambua kuwa walikuwa wanajikomesha wenyewe na siyo chama.maana wameona upinzani kazi yao ni kupinga kila kitu na kila jambo pasipo kumpigania mwananchi kwa lolote lile. Kwa hiyo huu mserereko na mteremko waliokuwa wakipata CHADEMA kwa sasa wasahau kabisa kuupata.maana kila mwana CCM amejilia kiapo cha kuipa kura ya ndio CCM Katika kila ngazi ya uchaguzi.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. CHADEMA njooni Nataka tubishane kwa hoja na siyo makelele na matusi. Weka hesabu nami niweke hesabu. Weka takwimu nami nishushe nondo za uhakika. Raha ya CCM Ni kubishana kwa hoja na siyo matusi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anae changiwa ni lissu au ni chadema? Em tuliza ubongo mkuu ushaambiwa na mdau henga chama chako!! Mchango wa lisu kawaomba wa tz wote hata wewe ukiguswa changia
 
Sio kwamba hawana wanachama wa kutosha ila huo ni ushahidi kwamba hawakubaliani na utapeli huo wa kutaka kutumia kigezo cha kumchangia Lissu kumbe ni kutakatisha fedha chafu kutoka ughaibuni. Nani anajua exactly nani kachanga kiasi gani? Chadema ni watakatishaji Waziri sana wa fedha kwa njia hizi hizi za michango.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Michago ya kumchangia Lissu Fedha za kununulia Gari imewaumbua sana CHADEMA, imewapa aibu,fedheha ,imewavua nguo hadharani na imeonyesha na kuthibitisha kauli yangu nayosemaga humu jukwaani kuwa CHADEMA imepuuzwa na inaendelea kupuuzwa na mamilioni ya watanzania kila uchwao.
kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chama chenye watu kama wewe wanaofanya analysis za kitoto kama hizi, ni chama ambacho kinaleta umaskini mkubwa kwa watanzania. hakifai kuendelea kuongoza nchi hii.
 
Back
Top Bottom