Tatoo za mbunge huyu mhhhhh!

KIMBURU

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
210
189
343t4ww.jpg


Wakuu hivi tatoo za namna hii zinaruhusiwa bungeni?
 

Attachments

  • tatoo.bmp
    1.2 MB · Views: 432
Hizo sio tatoo mpendwa, wenyewe huku pwani tunaita heena. Tofauti na tatoo hena zinatoka baada ya muda fulani wakati tatoo ni permanent. Ila unapoint hapo kwenye aina ya mapambo kwa waheshimiwa wabunge, maana sidhani kama bungeni ni mahala muafaka kwa mapambo hayo.
 
Mheshimiwa Suupwika .. mi ndo nawasilisha eti! Vijana wa zenji waajiriwe jeshini kwa usawa… si tulimpiga mtu kule mpaka kakimbia nchi…
 
Hizo sio tatoo mpendwa, wenyewe huku pwani tunaita heena. Tofauti na tatoo hena zinatoka baada ya muda fulani wakati tatoo ni permanent. Ila unapoint hapo kwenye aina ya mapambo kwa waheshimiwa wabunge, maana sidhani kama bungeni ni mahala muafaka kwa mapambo hayo.
$hehe huyu bado mwali kaolewa juzi juzi tu, na imani za kiislamu siunajua lazima mwanamke aonekane alivyo au lazima arembwe kwa kupakwa hina, so sidhani kama mama kakosea.
 
Hiyo ni Hinna na Wanja, yes ni temporary tatoo, sio permanent. Na haipakwi harusini au ukiwa unafunga ndoa tu, hinna hupakwa kwa raha zake mpakaji na aliekusudiwa kupakiwa na sherehe au hafla iliyokusudiwa kupakiwa hiyo hinna, ni mapambo (makeup) ya mwilini kama mapambo mengine.

Mijitu ya bara utaijuwa tu humu jinsi inavyochangia kuhusu huo wanja na hinna, hata wanja na hinna hawajui matumizi yake, halafu mkiambiwa ustaarabu wenu mliletewa kutoka pwani mnalalamika! Na bado hamjastaarabika kisawasawa, njooni pwani mjifue. Huu ni ustaarabu na urembesho wa enzi na enzi kwa watu wa pwani.
 
Hiyo ni Hinna na Wanja, yes ni temporary tatoo, sio permanent. Na haipakwi harusini au ukiwa unafunga ndoa tu, hinna hupakwa kwa raha zake mpakaji na aliekusudiwa kupakiwa na sherehe au hafla iliyokusudiwa kupakiwa hiyo hinna, ni mapambo (makeup) ya mwilini kama mapambo mengine.

Mijitu ya bara utaijuwa tu humu jinsi inavyochangia kuhusu huo wanja na hinna, hata wanja na hinna hawajui matumizi yake, halafu mkiambiwa ustaarabu wenu mliletewa kutoka pwani mnalalamika! Na bado hamjastaarabika kisawasawa, njooni pwani mjifue. Huu ni ustaarabu na urembesho wa enzi na enzi kwa watu wa pwani.

Duh kaazi kweli kweli, haya bwana heri yenu nyie "wastaarabu wa pwani"
 
Hina, Tatoo n.k. ni vitu vile vile (michoro kwenye mwili)! Hoja ni kwamba zinaruhusiwa? Hata kama nyingine zinakaa siku 2, mwezi au hata miaka!!
 
kwa watanzania( BARA) hii ni Culture Shock,ila kwa watu wa pwani ni hali ya urembo na wanawake wa pwani hufanya hivi hasa kumvutia mumewe.
ina maana ile mida ya jioni ni ya kimahaba zaidi kwa mume na mke.
Ila kwa proffessionals and discent woman of this age it doesnt look woooooow.Plz wait after Bunge time.Imekaa kiswahiliiiiii sana japo ni tamu.
 
Hiyo ni Hinna na Wanja, yes ni temporary tatoo, sio permanent. Na haipakwi harusini au ukiwa unafunga ndoa tu, hinna hupakwa kwa raha zake mpakaji na aliekusudiwa kupakiwa na sherehe au hafla iliyokusudiwa kupakiwa hiyo hinna, ni mapambo (makeup) ya mwilini kama mapambo mengine.

Mijitu ya bara utaijuwa tu humu jinsi inavyochangia kuhusu huo wanja na hinna, hata wanja na hinna hawajui matumizi yake, halafu mkiambiwa ustaarabu wenu mliletewa kutoka pwani mnalalamika! Na bado hamjastaarabika kisawasawa, njooni pwani mjifue. Huu ni ustaarabu na urembesho wa enzi na enzi kwa watu wa pwani.

Urembo ukizidi unageuka kuwa uchafu
 
Hina nzuri sana kwa siye watu wa pwani ni chachu ya mambo flani kunako bedi
 
Back
Top Bottom