Mwaaaaa KARIA ....nitonye mtoto akikunyea mkono utaukata? mkumbwa mwenzie anakuta radhi msamehe! ukiona mtu mzima analia tena hadharani namna hii ujue kuna jambo! kakiri amekosa huna budi kumsamehe! nawasilisha.
Kweli pombe sio chai khaaa, mie hapa simtaki Vin Diesel mpendwa, nsharudi kwa mume kipenzi nitonye...pombe ikiisha uje usome vizuri.sweetlady nimechelewa Mummy,
Mitungi noooomaaa!!!,
Ngoja nikubembelezee kwa Nyonga mkalia Inni wako Vin Diesel.
Atarudi tu.
Mke mwenza taratibu jamani lol....msamaha ushapitishwa ujue!Rudisha moyo nyuma baba, mawazo uliyonayo binti amekuja kuyaondoa rasmi. Msamehe manake kwenye soko na wewe kuuzika ngumu. Hizo hela tu ndo zinakusaidia.
Yaani wewe kwa umbea na majungu sikuwezi daaah! Ndio nini lakini? Bahati yako nitonye keshanisamehe, angekataa tu ningekuja kwako unioe mke wa sita!Shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Naona umeonewa huruma....ila Vin Diesel keshamaliza utamu wote kwa sweetlady we nenda kale makombo tu...
Ila kipenda roho hula nyama mbichi
Hahahahahaha lol....mi like that tehe!
Halafu Mamndenyi naona tubadilishane Jinsia za ukaguzi yan mi niwe nadeal na wadada wewe uwe na wakaka coz nimeona kuna umuhimu wa kuwafanyia ukaguzi coz wengine lol ndoa hazidumu na hatujui sababu kama wafuatao: sweetlady BADILI TABIA Kongosho Yummy Dena Amsi cacico The secretary na Madame B bila kumsahau Charminglady na Arabela na CatherineNdoa haramu hii. haina baraka za kamat4
Halafu Mamndenyi naona tubadilishane Jinsia za ukaguzi yan mi niwe nadeal na wadada wewe uwe na wakaka coz nimeona kuna umuhimu wa kuwafanyia ukaguzi coz wengine lol ndoa hazidumu na hatujui sababu kama wafuatao: sweetlady BADILI TABIA Kongosho Yummy Dena Amsi cacico The secretary na Madame B bila kumsahau Chariminglady na Arabela na Catherine
Vin Diesel nimeambiwa na sweetlady nije kukuambia kuwa ume EXPIRE kuanzia leo na HAKUTAKI TENA naomba umuelewe na hatutaki mjadala!
Kama una swali wasiliana na platozoom
Uwiiiii Vin Diesel shem wangu wa ukwehe, imekuwaje mrembo anakukimbia.? Ulikuwa hulipii maintanance costs au?
Hahahahaha ndio maana nikakuchagua kwenye hicho kitengo lol......nimependa huu mkwara!.....Safi sana tehe!
kwani huyu Vin Diesel kafanyaje? Kama unajua sababu ninong'oneze erick.